Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Idd Pazi [emoji3][emoji3]Round 10
Wilder naye kalamba floor
[emoji3][emoji23]
Pole Mkuu Fury sio mtu mzuriNimeumia sana,machozi yamenitoka, dah! Wilder[emoji25]
Kumpiga furry inabidi ujipange haswa, the dude is so genius in the ringNimeumia sana,machozi yamenitoka, dah! Wilder[emoji25]
Umeanza sababuFury amehesabiwa Knockdown mara mbili wakati Wilder akihesabiwa Knockdown mara tatu na mara ya tatu referee kamaliza Pambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee style yake anavyopigana ni kiakili sanaKumpiga furry inabidi ujipange haswa, the dude is so genius in the ring
Wilder alianguka kwenye round 10 pia man
Kalamba sakafu mara mbili, pumzi, mbinu, wilder hana, boxer wakumpiga furry kwa sasa hakuna, wilder ndiye angeweza, sasa nae shida yake ni hiyo ya kuvizia vizia
Angeamka sasa aendele kupambana..unaijua ngumi ya sikio wewe au ulikuwa huangalii kilichotokea.Mtu mpaka amevuja damu sikioni.Fury amehesabiwa Knockdown mara mbili wakati Wilder akihesabiwa Knockdown mara tatu na mara ya tatu referee kamaliza Pambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Fury is unstoppable.Kalamba sakafu mara mbili, pumzi, mbinu, wilder hana, boxer wakumpiga furry kwa sasa hakuna, wilder ndiye angeweza, sasa nae shida yake ni hiyo ya kuvizia vizia
Jamaa alikuwa hana Stamina kabisa sema kajitahidi sanaAngeamka sasa aendele kupambana..unaijua ngumi ya sikio wewe au ulikuwa huangalii kilichotokea.Mtu mpaka amevuja damu sikioni.
That's right ,sioni bondia wa kumpigaFury is unstoppable.
Dah jamaa lina dharau sana, kuna interview anasema atakua a very lonely and sad man akiacha ngumi, maana hana hobbies nyingine.
Plus nothing motivates him, haoni changamoto mpya
Dah, Joshua mwenyewe ndo hivyo tena kawa kama Dulla MbabeThat's right ,sioni bondia wa kumpiga