Tyson Fury vs Deontay Wilder: Mpambano mkali kupigwa tarehe 24 Julai, 2021

Tyson Fury vs Deontay Wilder: Mpambano mkali kupigwa tarehe 24 Julai, 2021

Round 1 to Wilder I guess, he was the better one...

Acha tuone
 
Gumi haswa..jamaa ameenda chini mara mbili..sema siko la Wilder kama limeshapata tatizo na FURY anapitia huko huko
Hatari man!!

Sema sio poa aisee, unajua Fury ni kama 150 kgs hivi sasa imagine ngumi ya kuangusha kilo 150
 
Ila heavy weight mapambano hayafutiagi kama yale ya uzito wa chini,wa kina canelo,gervonta n.k. sijui kwasababu wanakuwa wazito.mbona ya kina tyson yalikuwa yanavutia?
 
Wilder ana hali mbaya, labda itokee muujiza ndo ashinde
 
Back
Top Bottom