sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Watu wengi wameconclude kwamba marehemu alijirusha, wanasahau kuhoji kwamba alirushwa ama alitishiwa na kulazimika kujirusha bila hiari yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HuyuNa huyo mc joe tuone pic yake
Possibly he was there for decoying.Kaogopa kuisaidia Polisi...
Mkuu itakua unakitu cha ziada,lisaidie jeshi la police basiWatu wengi wameconclude kwamba marehemu alijirusha, wanasahau kuhoji kwamba alirushwa ama alitishiwa na kulazimika kujirusha bila hiari yake
Siyo elimu za kata, wewe nenda mbele kilomita 1,000 zaidi Kisha utamuelewa vizuri!Elimu za kata hizi
Naona kwa mbali kama umeanza kuelewa somo.Inaonekana nyuma ya pazia huwa yanaendelea mengi mno.
Ndo hapo penye utata sasa.Kwanini alitaka kuonyesha anafahamu kikichotokea kwa Joel?
Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dunia imeharibika sana, unaweza kuta ni mwanaume ila pia ni mjane wa pili wa marehemu,