TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?

Salamu zimemfikia naona alikuwa bado anaendekeza u sukuma gang
 
Upotolo mtupu
 
Hapa nachanganyikiwa kwasababu ijulikanavyo serikali haina chama, hivyo ningetegemea hao jamaa wote wakaape kwa bosi wao mpya, lakini hapa kwetu chama ndio serikali yenyewe na ndio maana wanafanyia vikao ikulu kama ulivyosema, anyway tuyaache tu.
 
Kama anajipendekeza kwa kuelimisha sioni tatizo hapo... Ww usiejipendekeza andika makala yako hapa kwa jukwaa tuone utofauti wa makala ya kujipendekeza na ambayo c ya kujipendekeza! Jf msingi wake ni jukwaa la great thinkers maana yake tunapaswa kubishana kwa hoja na sio vijembe! Tunakatisha watu tamaa ya kuleta habar na chambuzi zao huku ! Haya ni matokeo ya kuruhusu laymans kujiunga humu! Natamani kuwe na utaratibu wa kuremove wanaoatack individuals than the ideas!
 
Pascal ulikuwa umefichwa wapi? Umeonekana baada ya mazishi na katikati ya maombolezo kwa habari zako za mabeberu. Mabeberu sio watu wema
 
Ku quote gazeti lililopigwa marufuku si sahihi

Tulishasema humu adui wa mtanzania wa kwanza ni mtanzania hizo Habari hilo gazeti za Tanzania hupelekwa na watanzania na mmoja alidakwa Kabendera na The economist wakakiri akashughulikiwa barabara sasa huyu anayepeleka habari the Economist ni nani? Connect dots ila wazungu sio wajinga kama walivyomlipua Kabendera na huyu watamlipua

Najiuliza Why Mayala a quote gazeti lililopigwa marufuku na serikali ? copy katoa wapi wakati liko forbidden Tanzania? I smell a rotten rat somewhere
 
Mayalla ni mjanja sana.
 
Msigwa kapwaya sana,bahati nzuri Mama ana jicho la kuona mbali usishangae J4 Njaa kalamba kurugenzi ya habari Ikulu.
Hiyo haitakuja kutokea hapa Tanzania kama alishindwa kuteuliwa na kaka yake asahau
 
Pascal ulikuwa umefichwa wapi? Umeonekana baada ya mazishi na katikati ya maombolezo kwa habari zako za mabeberu. Mabeberu sio watu wema
Baada ya msiba ndiyo anatokea mafichoni maana aliamua kutomuunga mkono kaka yake
 
Kiukweli kwa wote tuliobaki hai baada ya mzee wetu kuitwa na Mungu,hakuna mwenye ubavu wa kumvimbia beberu.

Kama kuna mtu anabisha subiri uone kama ule mradi wa bwawa la Nyerere kama hautasitishwa kwa vitisho vya UNESCO
 
Wenyewe wanaita kufa kufaana lkn kwa ndugu yetu Bashiru imekuwa ni kinyume kabisa
Bashiru, kama wanasiasa au wanadamu wengine, anayo nafasi ya kuibuka mbele kwa style nyingine. watu wa aina yake sio rahisi kusahaulika. Trust me he will bounce back even more strong than he was.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…