TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?

Kiukweli kwa wote tuliobaki hai baada ya mzee wetu kuitwa na Mungu,hakuna mwenye ubavu wa kumvimbia beberu.

Kama kuna mtu anabisha subiri uone kama ule mradi wa bwawa la Nyerere kama hautasitishwa kwa vitisho vya UNESCO
Tuta lishaanza kujengwa. Mradi utaisha tu
 
Bashiru, kama wanasiasa au wanadamu wengine, anayo nafasi ya kuibuka mbele kwa style nyingine. watu wa aina yake sio rahisi kusahaulika. Trust me he will bounce back even more strong than he was.
Hizo ni fikra zako hatuwezi kukukatalia lkn ukweli bado unabakia pale pale kuwa mama kaamua kusafisha ghala
 
Hizo ni fikra zako hatuwezi kukukatalia lkn ukweli bado unabakia pale pale kuwa mama kaamua kusafisha ghala
Kuna wakati nacheka sana na nyinyi wana siasa. Hatua tatu mbele msianze kupiga tena kelele. Hata ingelikuwa ni mimi, ningefanya kazi na wale tu ninaoendana nao.
Rais Mstaafu JK ni mahiri mno wa siasa kuliko watu wengi wanavyopenda kutuaminisha. Hakutaka amuachie mtu asiyeaminika nchi. Na mpaka sasa anakwenda hivyo hivyo.
Tusisubiri kuona muujiza ambao hautakaa kutokea
 
Pasco ile nafasi ya kurugenzi ya mawasiliano ukiipata usiwasahau wana JF huku, hata kuwaita mara moja moja kwenye tafrija za hapa na pale[emoji1787]
una maani gani?...kwa hiyo ndg. gerson msigwa aanze kukaa mguu sawa?.
 

Unaposema hoja za hawa wajamaa (The Economist), hii ni ya UONGO au hii ni ya KWELI, inakuwa ni maoni yako au ni conclusion yako na kututaka na sisi tuchukuliane na matamanio yako?
 
Bashiru, kama wanasiasa au wanadamu wengine, anayo nafasi ya kuibuka mbele kwa style nyingine. watu wa aina yake sio rahisi kusahaulika. Trust me he will bounce back even more strong than he was.

Aibuke mara ngapi? Uliona kile kishindo cha Wabunge jana? Serikali ikitaka kupitisha jambo nyeti lazima itafute Wabunge aina ya Bashiru kuungwa mkono bungeni.
 
Mara baada ya waziri mkuu msitaafu Edward Lowasa kujiunga na kuinunua Chadema ili awe mgombea urais mwaka 2015 , kitu cha kwanza kabisa alipokabidhiwa tu chama alipiga marufuku siasa za kiharakati na kushauri siasa hizo hazina tija kwa sasa. Edward Lowasa alionya kuwa Chadema lazima igraduate kutoka chama cha kiharakati hadi kuwa chama cha siasa sasa.

Edward Lowasa alifafanua madhara ya chama kubaki cha kiharakati muda wote kuwa ni pamoja na kupinga maendeleo yote ya nchi ,kuombea mabaya nchi ,kushirikiana na mabeberu ili kuiibia nchi ,pamoja na kushangilia kila lililobaya kwa taifa ili kumfurahisha tu anayefadhili hizo harakati zako. Matokeo ya harakati hizi ni chama kuchukiwa na wazalendo na kupoteza ushawishi kwa wananchi.
Hakika Lowasa aliona mbali. Leo brand ya chadema imeharibiwa vibaya, chama kilichojizolea umarufu kwa kutetea wanyonge leo kinataka machinga na mama ntilie wafukuzwe mitaani!!! Leo ni furaha kubwa kwa Chadema ndege kukamatwa na wazungu!!!

Pia tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.
Mamilioni ya watanzania wameangua kilio kila kona kwamba sasa mwokozi wao ameondoka, cha kushitusha ni kwamba wananchi wa hali ya chini kabisa ndiyo wanaoongoza kwa kilio kinyume na tulivyokuwa tumeaminishwa kwamba Magufuli alikuwa ananyonga wanyonge!
Kitendo cha hayati rais Magufuli kuagwa na mamilioni ya watanzania huku wakiangua vilio njia nzima na kutandika kanga zao chini ili mwili upite imeenda kinyume kabisa na wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu na genge lake.

Kwa jinsi msiba huu unavyoenda naamini utakuwa darasa tosha kwa wasaliti wa nchi hii akina Tundu Lisu ,Godbless Lema, Chahali, Ngurumo, Mange Kimambi na wengine wengi, sasa wataelewa kumbe watanzania siyo vilaza.
Wataelewa kumbe watanzania wanajua yupi anapigania haki zao kwa vitendo na ni yupi ni mpiga makelele nyuma ya keyboard.

Kwa mapenzi haya yanayoonyeshwa na Watanzania kwenye msiba huu ni lofa tu atakayeendelea kuamini kwamba eti Tundu Lisu aliibiwa kura kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

Wito wangu kwa wasaliti wa nchi hii wanaoshangilia msiba kwamba sasa Magufuli ameondoka watarudi Tanzania na kuanza tena kutumika kuiba rasilimali za nchi hii kama walivyokuwa wanafanya huko nyuma wajue tu kwamba wanapoteza muda.
Watanzania siyo vilaza ,wanajua fika Tundu Lisu aliwatisha kwamba watashitakiwa MIGA ikiwa watabadili sheria za madini.
Tundu Lisu aelewe kuwa hawezi kuwa rais wa Tanzania kwa kushinda Twitter akikejeli kila lililojema kuhusu nchi yetu,
Tundu Lisu kupitia msiba huu atakuwa ameelewa na kupata darasa kwamba ukitaka kupendwa na Watanzania tumikia watanzania na siyo kutumikia Acacia
 
Kiukweli eneo hili bado ni gumu, Tangu Spika JYN ajiuzulu, sijafanikiwa kuona any serious analysisi kwenye media!.
Hili tulishauri, it took too long ila sasa ndio linakwenda kufanyika, better late than never
Kuna vitu hawa mabeberu wazungu wanaviona na wanavijua kuliko sisi, mfano ni huo, walisema Samia ataanza kama rais dhaifu, baadaye atakuwa strong, kama Spika ameachia ngazi!, then tukubali tukatae Samia sio mchezo!. Hivyo wale waliomchukulia poa, this is a wake up call!.
P
 
Hii ni MTR yangu ya pili kwa m Rais Samia kwenye Bandiko hili
Kati ya eneo gumu sana kwenye tasnia ya habari ni eneo la uchambuzi wa habari, news analysis. Japo Tanzania tuna vyombo vingi vya habari, na waandishi wengi wa habari, ni vyombo vichache ndio vina waandishi wenye uwezo wa kufanya news analysis.
Tatizo hili lilikuwepo wakati wa awamu ya Magufuli, media tuliingia uoga na kupigwa ganzi kufanya analysis, tatizo hili linaendelea mpaka leo kwenye awamu ya Rais Samia.
Hali hii inaendelea mpaka sasa, bado hatuna any serious talk show program ya analytical na analysis. Angalau mimi nimeanzisha kipindi kipya cha KMT.
Hizi trends and analysis, ndio kama hivi, naendelea nazo.
As days go by, Rais Samia anazidi ku stabilize ila two years ni time enough to fully stability lakini bado kuna some few silly mistakes here and there.
Kosa hili la kutolivunja Baraza la mawaziri limetucost kumteua Naibu Waziri Mkuu.
Hili limefanyika na mfano hai ni ujio wa DPW na Bandari zetu!.
Tunaendelea kumsaidia Rais Samia kwa kumshauri
Ukiona mabeberu wanaanza anza kuwasifu viongozi wazalendo wa bara la Afrika, ujue, wana lao jambo!.
Karibu kwenye hoja zangu...
Hii ni kweli kabisa.
Wanabodi,
  1. Hoping for change, Tanzania’s new president surely can’t be worse than the old one.-Hapa wanamsema JPM was worse president, hivyo sasa wana matumaini na Samia. Jee ni kweli JPM was worse president?.
Miaka miwili ya Samia, imethibisha JPM was not a worse president wala Samia is not better than. They are both humans and can make mistakes.
2. Tanzania’s new president, Samia Suluhu Hassan, vows to continue where her predecessor left off. –This is true.
Kwenye hili, Samia anafanya vizuri, anaendeleza yale yote ya Magufuli japo sio kwa speed ya Magufuli .
3. Pity the country if she keeps her promise. Hapa wanatuonea huruma kama atafuata nyayo za JPM. Jee ni kweli, Taifa la Tanzania, linahitaji kusikitikiwa iwapo Samia atafuata nyayo za JPM?.
Rais Samia has proved them wrong, amefuata nyayo za JPM na anaendelea kudunda.
4. John Magufuli, was a covid-denying populist who ran a ruthless authoritarian regime. Jee ni kweli JPM run a ruthless authoritarian regime in Tanzania?.
It's true JPM aliigomea Covid 19 na ni kweli alitawala kwa mkono wa chuma, Rais Samia ni soft, ameikubali Corona ni tatizo na amechukua hatua ikiwa ni pamoja na kukubali chanjo.
5. Many believe that the virus killed him. Hapa wana suggest JPM kaondolewa na covid!. Huu sio uongo?. Hao many who believes that ni wepi, wa wapi?!.
Huu ni uongo na hawa ni waongo!
Ili kuipush hii agenda ya covid, hawakuitangaza sababu ya kifo cha JPM iliyotangazwa na serikali yetu.
Huu ni uzandiki!.
Huu ni uongo !.
  • For the moment liberal Tanzanians are surprisingly upbeat, in part because they do not take Ms Samia, the country’s first female leader, at her word.-Huu ni uongo!.
Huu ni uongo wa mchana kweupe!.
MTR hii inaendelea...
Paskali
 
Unaposema hoja za hawa wajamaa (The Economist), hii ni ya UONGO au hii ni ya KWELI, inakuwa ni maoni yako au ni conclusion yako na kututaka na sisi tuchukuliane na matamanio yako?
Ni opinion yangu based on the facts zilizopo.
P
 
Ni kweli. Hawa The Economist ni media ya kibeberu, siku zote wanatusema vibaya na walimwandama sana Magufuli, ila Samia walimfagilia. Samia tumaini jipya Tanzania: The Economist baada ya kumsakama sana Magufuli, sasa angalau lina matumaini na Samia, laanza naye vizuri na hapa TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?

Hata mimi nimemfagilia Mwinyi Buriani Mzee Ruksa!. Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binaadam na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!.
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…