U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

Wewe ni mtu mwenye chuki na Uislam kwa ujumla wake. Usisingizie ugaidi sijui nini nini.
Eh Jombaa.. Quran inakuumbua Jombaa... wewe ni fake muslim nini? au ndio Taqiyya imetawala moyo wako?

Quran 9:5
Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Quran 47:4
Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Quran 9:29
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
— Ali Muhsin Al-Barwani
Mwisho kuna wapalestina katika UAE, sio kama ulivyodai.

Na nchi za Kiislam hazikatazwi kufanya amani na nchi za makafiri na kuwa na mahusiano ya kidiplomasia kwa maslahi ya Uislam na Waislam, na raia wa nchi hizo, kwa mujibu wa Shari'ah na mipaka yake.

Allah azihifadhi nchi za kiislam na awaongoze watawala na raia zake. Ameen.
Quran 3:28
Believers should not take disbelievers as guardians instead of the believers—and whoever does so will have nothing to hope for from Allah—unless it is a precaution against their tyranny. And Allah warns you about Himself. And to Allah is the final return.
— Dr. Mustafa Khattab, The Clear Quran
Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.
— Ali Muhsin Al-Barwani


Quran 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
— Ali Muhsin Al-Barwani

O believers! Take neither Jews nor Christians as guardians—they are guardians of each other.1 Whoever does so will be counted as one of them. Surely Allah does not guide the wrongdoing people.
— Dr. Mustafa Khattab, The Clear Quran


Quran 3:32
Sema: Mt'iini Allah na Mtume. Na wakigeuka basi Mwenyezi Mungu hawapendi makafiri.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Say, ˹O Prophet,˺ “Obey Allah and His Messenger.” If they still turn away, then truly Allah does not like the disbelievers.
— Dr. Mustafa Khattab, The Clear Quran

So Aya hiyo ni Shirki Eti mtiini Allah na Mohamad.. kumbe ni same level. Mungu wa Waislam ni Mohamad ''HEKO''
 
Umeniwahi
Ila nyie jamaa ni washamba sana kama hujui Ukanda wa Palestina, Lebanon, Jordan na Syria unaitwa Levant Arabs na ndio waarabu wengi ambao wana dini tofauti na Uisilamu wapo wengi, Hata eneo La Egpty la Wakristo linapakana na Ukanda Huo.

Unapoongelea Waarabu wanamuziki Kina Nancy Ajram, Elisa, Feirouz na Malegend Wengine ni Ukanda Huo, Mavazi yao hawavai Kanzu, Hawana Character Nyingi zile za waarabu Asili.

Leo hii ukishushwa Beirut Hapo Lebanon unaweza uka sema Upo Ulaya Watu wanayo behave.

At Same Time Nchi za Kiarabu Asili KAMA Saudia, UAE, Oman, Kuwait, Qatar etc bado watu wanashikilia Sana Dini na mpaka leo japo wana Hela wapo kiasili, Utawakuta Misikitini, kama Kuna Club basi haipo hadharani, ukifanya Kosa dogo tu hapo Dubai wana ku deport kwenu sababu hawataki tabia chafu za watu wengine, ila Nchi kama Palestina Ama Lebanon hukuti hayo mambo.

Lebanon kuna mpaka Porn stars Kina Mia Khalifa huwezi kuta huo Ujinga UAE ama Saudia.

So kusema kwamba Eti Dubai ama Saudi wameendelea sababu wameacha Dini na Kina Palestina hawaja endelea sababu wanafuata Dini ni hoja ya kipuuzi mno sababu Vice versa is true.
Umeniwahi kumjibu mkuu🙏sasa nchi kama rebanon kule Kuna din gan? Lebanon si saw tu na nch yeyote ya ulaya?
 
Hii dini ya kipumbavu sana!

Somalia, Afghanistan, Sudan kote wafuasi wa Allah wanauana tu.

Angalia Lebanon kanchi kazuri kanaenda kuharibiwa sababu ya wapumbavu wachache kutaka kuwahi mito ya pombe na mabikra 72 kwa mudi
 
Hii dini ya kipumbavu sana!

Somalia, Afghanistan, Sudan kote wafuasi wa Allah wanauana tu.

Angalia Lebanon kanchi kazuri kanaenda kuharibiwa sababu ya wapumbavu wachache kutaka kuwahi mito ya pombe na mabikra 72 kwa mudi
Umesahau na Ukraine Russia Myanmar Congo nk
 

Leo hii unaenda dubai unakutana na watu wa kila aina wenye misimamo na dini za kila aina, ili hali waishi kuendana na sheria za U.A.E

Hawa walikataa ujinga wa kuwa wahanga wa wapumbavu wachache wanaodhania duniani wamekuja kuipigania dini na itikadi zao kwa hali na mali.

Emirates waliiona fursa na wakaitumia vizuri, leo wanashirikiana na yoyote yule kwa ajili ya maendeleo yao.

Walikataa kuwa vibaraka wa ujinga, ndio maana hadi leo haujaona wamechukua refugees wa palestine, maana wanajua mziki wao wakishawaleta nchini kwao, hawataki kuwa kama lebanon.

Wanagusia gusia kidogo kwa kinafiki ila hawataki kero zao.

Wanajua free palestine ni utapeli, wanajua Iran ni utapeli, wanajua houthi ni utapeli, ila wapenzi wa itikadi kali wa bongo mko mstali wa mblele. Hongereni.
dogo wacha story waswahili wanakuambia kwenye majumba ya watu kuna siri nyingi zimejificha sawa sawa na nchi. Ukisha ishi kule ndo utagundua ukweli wote.
 

Leo hii unaenda dubai unakutana na watu wa kila aina wenye misimamo na dini za kila aina, ili hali waishi kuendana na sheria za U.A.E

Hawa walikataa ujinga wa kuwa wahanga wa wapumbavu wachache wanaodhania duniani wamekuja kuipigania dini na itikadi zao kwa hali na mali.

Emirates waliiona fursa na wakaitumia vizuri, leo wanashirikiana na yoyote yule kwa ajili ya maendeleo yao.

Walikataa kuwa vibaraka wa ujinga, ndio maana hadi leo haujaona wamechukua refugees wa palestine, maana wanajua mziki wao wakishawaleta nchini kwao, hawataki kuwa kama lebanon.

Wanagusia gusia kidogo kwa kinafiki ila hawataki kero zao.

Wanajua free palestine ni utapeli, wanajua Iran ni utapeli, wanajua houthi ni utapeli, ila wapenzi wa itikadi kali wa bongo mko mstali wa mblele. Hongereni.

Itikadi kali ni kujitoa ufahamu. Hawashirikishi akili katika kuamua mambo.
Mfano nimeona kwenye TV, eti maislam yenye msimamo mkali (wa kijuha) wanataka kulipiza kisasi kwa mtu aliyechana kuruwan nchi Sweden 🇸🇪. Sasa unafikiria hiyo ni akili au matope? Wanaacha kushughulika na waumini wao ambao wanaichana kuruwan kwa kutofuata maamlisho ya Allah wao ambayo yako kwenye kitabu chao. Wenyewe wanahangaika na wanaochana kitabu physically. Wanaacha watu wao kibao ambao wanaikanyaga kwa kisigino (kuisigina) kuruwan kwa kufanya maovu bila kuhofu na wengine kwa raha zao.
🙄 😛
 
Umesahau na Ukraine Russia Myanmar Congo nk

Zile siyo nchi za Allah, ni nchi za makafiri. Sasa ukiona nchi za Allah zinamwaga damu za watu wa Allah sawasawa kabisa na jinsi damu inavyomwagika katika nchi za makafiri. Inakuwa ngumu kuelewa ati.
CC: Crimea
 
Wewe ni mtu mwenye chuki na Uislam kwa ujumla wake. Usisingizie ugaidi sijui nini nini. UAE, Saudi Arabia na nchi nyingi za kiislam zina amani na utulivu. Mbona hujaitaja Saudia ambayo mnailaumu kwa kuvunja "haki za binadamu" na demokrasia na bado ina utulivu na amani na maendeleo makubwa? Na Saudia ndio katika nchi zote za kiislam imejitahidi mno kuitekeleza Shari'ah, Allah azidi kuibariki na kuwaongoza watawala wake. Allah azipe amani, utulivu na maendeleo nchi zote za kiislam na awaongoze watawala wao.

Halafu cha kufurahisha nchi hizi nyingi hazina takataka ya demokrasia au haziendekezi demokrasia. Huwezi kusikia kuna maandamano maandamano. Na wana maendeleo makubwa.

Halafu nchi zilizoharibika katika nchi za kiislam zimeharibiwa na makhawaarij, watu wanaojitoa katika utii wa mtawala na wakataka kumpindua. Makhawaarij mbwa wa motoni wanajificha nyuma ya Dini, nyuma ya kuamrisha mema na kukataza maovu lakini malengo yao ni viti vya utawala na dunia tu.

Wameanza tokea zama za mwanzo katika historia ya Uislam. Na wamekuwa wakidhihiri na kupotezwa, wakidhihiri na kupotezwa na katika zama hizi walidhihiri kupitia akina Muslim Brotherhood (ambao wanavumiliwa sana katika nchi za magharibi na baadhi yao wamepewa hifadhi katika nchi hizo wengine baada ya kuzichoma moto baadhi ya nchi za kiislam na kukimbilia nchi za magharibi na wanapewa uhuru wa kupanga njama dhidi ya nchi za Kiislam kutokea huko katika nchi za magharibi na nchi za magharibi zinawadhibiti pale tu hawa makhawaarij wanapowageuka) na madhehebu yao ikadhihiri katika zama zetu kupitia falsafa za Sayyid Qutb na baadae wakadhihiri akina Osama Bin Ladin na wenzake.

Lengo lao hawa makhawaarij ni nchi za kiislam, wala sio wamagharibi, wamagharibi wanashambuliwa na hawa makhawaarij pale ambapo wanaona wamagharibi wanaingilia njia yao kuelekea kuwapindua watawala wa kiislam. Na kwa mlango wa nyuma makafiri wa nchi za kimagharibi huwatumia kama kisingizio cha kuingilia kijeshi baadhi ya nchi za kiislam kwa maslahi yao katika nchi hizo zilizojaaliwa neema nyingi mno.

Na hili mpaka mashia wanatumia makhawaarij katika baadhi ya nchi za kiislam ili ziwake moto kwa maslahi yao mashia. Baadhi ya nchi wamefanikiwa na nyengine hawajafanikiwa kwa sababu hawaendekezi kabisa makhawaarij na wanawadhibiti kwa nguvu wao pamoja na mianya yao kama demokrasia kwa sababu makhawaarij huitumia demokrasia pia kama mwanya.

Mwisho kuna wapalestina katika UAE, sio kama ulivyodai.

Na nchi za Kiislam hazikatazwi kufanya amani na nchi za makafiri na kuwa na mahusiano ya kidiplomasia kwa maslahi ya Uislam na Waislam, na raia wa nchi hizo, kwa mujibu wa Shari'ah na mipaka yake.

Allah azihifadhi nchi za kiislam na awaongoze watawala na raia zake. Ameen.

Umeongea mambo mengi sana, lkn ukweli ni kwamba maislam, hayajawahi yashutumu hadharani na peupe Makhawaarij kama akina Osama, MB, ISIS na wengine wengi. Ndiyo maana dunia inaona wote ni walewale.
 
Sidhani kama alichoongelea hapo kweny video kama umeelewa kabisa !? Kwa sababu unaongea vitu tofauti bila ya kuelewa ...Hakuna muislamu ana chuki kama ni kweli wangevamia nchi za jirani kabisa nje ya ardhi .

Unaongelea makundi ambayo wengi ni wadogo waliozaliwa maika ya 90's. Watato ambao wameshuhudia wazazi wao wakiuliwa na wazungu kwa nn wasiweke chuki kweny vifua vyao ?
Hayo makundi wakati ya vita ya kwana na pili ya dunia uliyasikia ? Nchi kiislamu watu wanaishi safi kama mtacuta sheria zenu kwa sababu hata muislamu halazimishwi kwenda msikiti au ufanya ibada kama kusoma Qur an ipo wazi .

Makundi mengine sio ya waislamu , hilo vuguvugu linaloendela umewaona ISIS ?Hayo ni makundi ya mchongo jaribu kusoma Qur an usinasibishe dini ndio unapokosea ....Russia anaua wanajeshi wa ukraine lakini hatutaki dini a taifa la Russia ila nyie mnapenda kuona wenzenu wana makosa 😀 😀 .


Wewe utakuja kusema nchi za kiislamu zinahukumu kifo wnaobadili dini ila watu wa dini zote wapo wanaishi hasa watalii.

Uislamu umeheshimu maumbile na nchi ambazo zilifanyiwa ubaya na wazungu mpaka siku ya mwisho pataendelea kuwepo na makundi ya itikadi kali , sababu kubwa jamii ya waarabu ni watu wabishi hata Africa zipo rebel group..Mkitaka hayo yaishe msiingilie nchi za watu mbaki kwenu ....


Huko hakuna demokrasia ukileta uasi huchukui round unauliwa ..

Hapo sijakusoma, maana kitendo cha kuweka maspika juu ya paa na kuanza kupayuka maneno yasiyoeleweka ya miarabu. Huko siyo kulazimisha watu?
 
Chuki dhidi ya Uislam iliyofichwa nyuma ya pazia la kupinga ugaidi...

Nyie mlipue watu huku mkiita takibil takibil. Allahu kibaru. Halafu tuwafurahie. Mii kuna kipindi nikiona mtu kavaa yale mavazi ya kiarabu yale ya kininja na makanzu kanzu, nilikuwa sijisikii aman
 
Itikadi kali ni kujitoa ufahamu. Hawashirikishi akili katika kuamua mambo.
Mfano nimeona kwenye TV, eti maislam yenye msimamo mkali (wa kijuha) wanataka kulipiza kisasi kwa mtu aliyechana kuruwan nchi Sweden 🇸🇪. Sasa unafikiria hiyo ni akili au matope? Wanaacha kushughulika na waumini wao ambao wanaichana kuruwan kwa kutofuata maamlisho ya Allah wao ambayo yako kwenye kitabu chao. Wenyewe wanahangaika na wanaochana kitabu physically. Wanaacha watu wao kibao ambao wanaikanyaga kwa kisigino (kuisigina) kuruwan kwa kufanya maovu bila kuhofu na wengine kwa raha zao.
🙄 😛
Ahhahah
 
Nyie mlipue watu huku mkiita takibil takibil. Allahu kibaru. Halafu tuwafurahie. Mii kuna kipindi nikiona mtu kavaa yale mavazi ya kiarabu yale ya kininja na makanzu kanzu, nilikuwa sijisikii aman
Ahhaha
 
Umeongea mambo mengi sana, lkn ukweli ni kwamba maislam, hayajawahi yashutumu hadharani na peupe Makhawaarij kama akina Osama, MB, ISIS na wengine wengi. Ndiyo maana dunia inaona wote ni walewale.
Huyu ajielewi. Nishawazoea hawa itikadi kali
 
Hapo sijakusoma, maana kitendo cha kuweka maspika juu ya paa na kuanza kupayuka maneno yasiyoeleweka ya miarabu. Huko siyo kulazimisha watu?
Unajua kulazimishwa ? au wewe umesoma MEMKWA ! Kila jambo lina wahusika wake ndio maana hata mziki upigwe sehemu sio wote wanaupenda ...Suala la imani ni la mtu binafsi hauwezi kumlazimisha tu hata siku moja .
 
Back
Top Bottom