U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

Hii dini ya kipumbavu sana!

Somalia, Afghanistan, Sudan kote wafuasi wa Allah wanauana tu.

Angalia Lebanon kanchi kazuri kanaenda kuharibiwa sababu ya wapumbavu wachache kutaka kuwahi mito ya pombe na mabikra 72 kwa mudi
Lebanon used to be majority coptic christians, but the hezbollah wakaingia na kusambaza harakati zao, thats why up to date bado wana internal conflict, hezbolla want to take over, na kutumia rules za dini kutawala,walio wakuta hapo hawataki
 
Sikulaumu ndugu

maana ushapikwa katika system ya utumbo wenu mnaouita dini.

Unajua waislam bila itikadi kali ingekuwa bonge la dini kwa maana wameinvest katika maadili kwa kutilia mkazo, ila tatizo lao hawana dini ila wana cult, ndio maana wameishia kuwa wahanga wa misimamo yao isiokuwa na maana halisi ila za kufikirika.

Asili yenu ni kuhangamiza kwa jina la mtume wenu ambae anadai alitumwa na Mungu, Mungu huyu huyu ambae ndio anae preach upendo????!!!, au allah na Mungu ni tofauti, anyway, maisha mema ya jihad.

Quote
Wewe ni mtu mwenye chuki na Uislam kwa ujumla wake. Usisingizie ugaidi sijui nini nini. UAE, Saudi Arabia na nchi nyingi za kiislam zina amani na utulivu. Mbona hujaitaja Saudia ambayo mnailaumu kwa kuvunja "haki za binadamu" na demokrasia na bado ina utulivu na amani na maendeleo makubwa? Na Saudia ndio katika nchi zote za kiislam imejitahidi mno kuitekeleza Shari'ah, Allah azidi kuibariki na kuwaongoza watawala wake. Allah azipe amani, utulivu na maendeleo nchi zote za kiislam na awaongoze watawala wao.

Halafu cha kufurahisha nchi hizi nyingi hazina takataka ya demokrasia au haziendekezi demokrasia. Huwezi kusikia kuna maandamano maandamano. Na wana maendeleo makubwa.

Halafu nchi zilizoharibika katika nchi za kiislam zimeharibiwa na makhawaarij, watu wanaojitoa katika utii wa mtawala na wakataka kumpindua. Makhawaarij mbwa wa motoni wanajificha nyuma ya Dini, nyuma ya kuamrisha mema na kukataza maovu lakini malengo yao ni viti vya utawala na dunia tu.

Wameanza tokea zama za mwanzo katika historia ya Uislam. Na wamekuwa wakidhihiri na kupotezwa, wakidhihiri na kupotezwa na katika zama hizi walidhihiri kupitia akina Muslim Brotherhood (ambao wanavumiliwa sana katika nchi za magharibi na baadhi yao wamepewa hifadhi katika nchi hizo wengine baada ya kuzichoma moto baadhi ya nchi za kiislam na kukimbilia nchi za magharibi na wanapewa uhuru wa kupanga njama dhidi ya nchi za Kiislam kutokea huko katika nchi za magharibi na nchi za magharibi zinawadhibiti pale tu hawa makhawaarij wanapowageuka) na madhehebu yao ikadhihiri katika zama zetu kupitia falsafa za Sayyid Qutb na baadae wakadhihiri akina Osama Bin Ladin na wenzake.

Lengo lao hawa makhawaarij ni nchi za kiislam, wala sio wamagharibi, wamagharibi wanashambuliwa na hawa makhawaarij pale ambapo wanaona wamagharibi wanaingilia njia yao kuelekea kuwapindua watawala wa kiislam. Na kwa mlango wa nyuma makafiri wa nchi za kimagharibi huwatumia kama kisingizio cha kuingilia kijeshi baadhi ya nchi za kiislam kwa maslahi yao katika nchi hizo zilizojaaliwa neema nyingi mno.

Na hili mpaka mashia wanatumia makhawaarij katika baadhi ya nchi za kiislam ili ziwake moto kwa maslahi yao mashia. Baadhi ya nchi wamefanikiwa na nyengine hawajafanikiwa kwa sababu hawaendekezi kabisa makhawaarij na wanawadhibiti kwa nguvu wao pamoja na mianya yao kama demokrasia kwa sababu makhawaarij huitumia demokrasia pia kama mwanya.

Mwisho kuna wapalestina katika UAE, sio kama ulivyodai.

Na nchi za Kiislam hazikatazwi kufanya amani na nchi za makafiri na kuwa na mahusiano ya kidiplomasia kwa maslahi ya Uislam na Waislam, na raia wa nchi hizo, kwa mujibu wa Shari'ah na mipaka yake.

Allah azihifadhi nchi za kiislam na awaongoze watawala na raia zake. Ameen.
 
Bei
Lebanon used to be majority coptic christians, but the hezbollah wakaingia na kusambaza harakati zao, thats why up to date bado wana internal conflict, hezbolla want to take over, na kutumia rules za dini kutawala,walio wakuta hapo hawataki
Beirut iliitwa Paris miaka hio hadi hawa vitukuu wa meddy walivyoingia
 

Leo hii unaenda dubai unakutana na watu wa kila aina wenye misimamo na dini za kila aina, ili hali waishi kuendana na sheria za U.A.E

Hawa walikataa ujinga wa kuwa wahanga wa wapumbavu wachache wanaodhania duniani wamekuja kuipigania dini na itikadi zao kwa hali na mali.

Emirates waliiona fursa na wakaitumia vizuri, leo wanashirikiana na yoyote yule kwa ajili ya maendeleo yao.

Walikataa kuwa vibaraka wa ujinga, ndio maana hadi leo haujaona wamechukua refugees wa palestine, maana wanajua mziki wao wakishawaleta nchini kwao, hawataki kuwa kama lebanon.

Wanagusia gusia kidogo kwa kinafiki ila hawataki kero zao.

Wanajua free palestine ni utapeli, wanajua Iran ni utapeli, wanajua houthi ni utapeli, ila wapenzi wa itikadi kali wa bongo mko mstali wa mblele. Hongereni.
Saudia nao chini ya MBS wameamua kuachana na huo UCHAWI wa ALLAH
 
Unajua kulazimishwa ? au wewe umesoma MEMKWA ! Kila jambo lina wahusika wake ndio maana hata mziki upigwe sehemu sio wote wanaupenda ...Suala la imani ni la mtu binafsi hauwezi kumlazimisha tu hata siku moja .

Mnatulazimisha kusikia makelele tusiyoyaelewa kila alfajili ya saa 11. Kwani mkiitana, kwa dk 2. Halafu baada ya hapo zimeni mavipaza sauti, mpeane mawaidha mlio ndani ya nyumba yenu ya ibada.
 
Hakuna hiyo kweny uislamu wala si ruhusu kujitoa uhai kwa kujilipua ...Jihad ni pana sana hata kujenga msikiti ni jihadi , kusaidia maskini so inabidi usome kwanza .

Waliopigana kipind cha mtume ndio inwahusu maana walipigana kwa kulinda nafsi , kweny Qur an ni kwamba Mungu ndio atailinda dini yake sio binadamu ..Walichoambiwa kujilinda kama wakipigwa basi wapigane kuonesha juhudi sio kubweteka .

Soma vizuri.

Na wale ambao wamejiapiza kuwasaka waliochana kuruwan physically na kuwaacha wale wanaoichana kuruwan kwa kutofuata maamlisho ya Allah wenu bila hofu.
 
Msimamo mkali kwenu ni hawa:-
1. Wavaa hijab
2. Wanaoswali 5
3. Wanaopinga pombe
Nk
Waislam mnaowataka
1. Walevi
2. Mume muislam mke mkiristo
3. Kuswali sio lazima.
Waislam mnaowataka nyinyi kwa mujibu wa Quran hao ni hawakubaliki ktk uislam

Hiyo ya kwanza ni tamaduni ya kiarabu.
Na mengine ni maadili na ustaarabu wa kawaida wa jamii yetu
 
Lebanon used to be majority coptic christians, but the hezbollah wakaingia na kusambaza harakati zao, thats why up to date bado wana internal conflict, hezbolla want to take over, na kutumia rules za dini kutawala,walio wakuta hapo hawataki
kwanza Lebanon sio Coptic, Coptic ni Egpty na Lebanon ni Maronite,

Pili kwamba Hezbollah wamekuja kusambaratisha haki zao, si kweli, Hezbollah imekuja baada Ya lebanon Civil war, na Hezbollah ndio kaijenga Lebanon kama hujui imeanza kama Social work group wao ndio wame jenga shule, Hospitali, charity centre's etc

Tatu Maronite ambao hawassuport Hezbollah ni wachache mno, majority ni pro Hezbollah, Huyu Kiongozi wa Kisiasa Wa maronite na Raisi aliepita wa Lebanon Michael Aoun alisaini mkataba unaitwa Mar Mkhael agreement baina yao na Hezbollah

Soma hapa huo mkataba

images-11.jpeg

Hezbollah wakawaunga mkono Maronite kwenye Uchaguzi na Waka chukua Nchi na Maronite wakawaunga Mkono Hezbollah kwenye vita vya 2006 dhidi ya Israel.

Nne angalia Picha za Uchaguzi za LebAnon

Hii Picha ya Uchaguzi watu gani wamewachagua Hezbollah na wapi wamewakataa
main-qimg-72d85e7f6e3c460f719b086713bdcf36-lq.jpeg

Rangi nyekundu ni pro Hezbollah na Blue ni Anti-Hezbollah.

Hii Ramani ya pili inaonesha majority ya Group wanaishi wapi ndani ya Lebanon
main-qimg-b9ba083614d20e8af6bee66f2e8acb01.png

-njano wakristo wa Maronite
-Orange wakristo wengine kama Greek Orthodox
-Purple Shia
-Green Sunni
-Blue Druze.

Purple na yellow wengi ndio Wameichagua Hezbollah na Yellow ni Maronite, ila waisilamu wa Sunni na Druze ndio hawaja chagua Hizbollah pamoja na minority Maronite.

So mkuu ulichoongea si kweli, Maronite Wakristo wa Lebanon wapo upande wa Hizbollah na sio Against.
 
Sikulaumu ndugu

maana ushapikwa katika system ya utumbo wenu mnaouita dini.

Unajua waislam bila itikadi kali ingekuwa bonge la dini kwa maana wameinvest katika maadili kwa kutilia mkazo, ila tatizo lao hawana dini ila wana cult, ndio maana wameishia kuwa wahanga wa misimamo yao isiokuwa na maana halisi ila za kufikirika.

Asili yenu ni kuhangamiza kwa jina la mtume wenu ambae anadai alitumwa na Mungu, Mungu huyu huyu ambae ndio anae preach upendo????!!!, au allah na Mungu ni tofauti, anyway, maisha mema ya jihad.

Quote
Jibu hoja acha maneno ya Kanga, umeulizwa juu na wengi kati ya Lebanon na Uae Nani kashikilia dini?
 
Ni mapumbavu eti ukifia dini peponi moja kwa moja...mengine yanajitoa mhangae yanauwa watu hata wasio na hatia huku yanaimba " Allahu akbar"
Kipindi wanashambulia wao walikua na furaha sana
 
Mnatulazimisha kusikia makelele tusiyoyaelewa kila alfajili ya saa 11. Kwani mkiitana, kwa dk 2. Halafu baada ya hapo zimeni mavipaza sauti, mpeane mawaidha mlio ndani ya nyumba yenu ya ibada.
😀 😀Vile ni mkreketwa na unaumia, gari ikipita ni kelele so kila kitu ni hivyo....Mawaidha ni kwa wote labda kama ulifuatwa kweny nyumba yako ndio useme.

Lete ushahidi mimi nitakulipa faina unayotaka , kama hayo makelele walikuja kupiga nyumbani kwako ...Uko poirni na kiwanja cha 17*17 Lazima upate hayo makelele.
 
Huu uzi una kila dalili ya chuki na kutoheshimiana
 
Na wale ambao wamejiapiza kuwasaka waliochana kuruwan physically na kuwaacha wale wanaoichana kuruwan kwa kutofuata maamlisho ya Allah wenu bila hofu.
Kachane katiba uone , kwani kulikuwa na ulazima gani wa kuchana public kama kejeli ? Sikufichi ukishambulia waislamu lazima ushambuliwe . 😀 😀 😀
 
Kachane katiba uone , kwani kulikuwa na ulazima gani wa kuchana public kama kejeli ? Sikufichi ukishambulia waislamu lazima ushambuliwe . 😀 😀 😀

Kuhusu katiba, wale siyo dini. Ila kwa kuruwan, huna haja ya kupigana na mtu awaye yote kwa maana kama Allahu ni mungu mwenye nguvu anaweza kuwashughulikia yeye mwenyewe bila kuomba msaada kwa akina ISIS, BC, hizbullah, et al.
Maislam yamefundushwa kisasi. Matokeo yake kisasi kinawaumiza na wao wenyewe pia. Angalia yanayotokea katika nchi zote za maislam. Bi mavisasi waliofundishwa na mudi.
😛 😂😛
 
Kuhusu katiba, wale siyo dini. Ila kwa kuruwan, huna haja ya kupigana na mtu awaye yote kwa maana kama Allahu ni mungu mwenye nguvu anaweza kuwashughulikia yeye mwenyewe bila kuomba msaada kwa akina ISIS, BC, hizbullah, et al.
Maislam yamefundushwa kisasi. Matokeo yake kisasi kinawaumiza na wao wenyewe pia. Angalia yanayotokea katika nchi zote za maislam. Bi mavisasi waliofundishwa na mudi.
😛 😂😛
Labda kama hujui , ile vita ya dunia ya kwanza & pili walipigana?
 
Itikadi kali ni kujitoa ufahamu. Hawashirikishi akili katika kuamua mambo.
Mfano nimeona kwenye TV, eti maislam yenye msimamo mkali (wa kijuha) wanataka kulipiza kisasi kwa mtu aliyechana kuruwan nchi Sweden 🇸🇪. Sasa unafikiria hiyo ni akili au matope? Wanaacha kushughulika na waumini wao ambao wanaichana kuruwan kwa kutofuata maamlisho ya Allah wao ambayo yako kwenye kitabu chao. Wenyewe wanahangaika na wanaochana kitabu physically. Wanaacha watu wao kibao ambao wanaikanyaga kwa kisigino (kuisigina) kuruwan kwa kufanya maovu bila kuhofu na wengine kwa raha zao.
🙄 😛
Hizi dini mbili (Ya mzungu na Waarabu) zimetuletea majamga mengi sana. Halafu wanaokua kimbelembele ni wale waliopelekewa tu hiyo imani wakati walioipokea originale wapp wametulia tuliiii. Yaani kuna wakati unakaa unajiuliza huyu mungu wa kupiganiwa hadi kwenye makaratasi yanayooza kesho ni mungu wa namna gani hasa. Kuna watu wanapiga makelele kwenye nyumba za ibada bila kujali wengine waliolala au wagonjwa hadi unajiuliza huyo anayeabudiwa huko ni kweli hajui ustaarabu. Mwisho hua napata jibu kuwa tatizo sio dini ila wapokeaji dini ndio wameipokea kivingine kabisa. Ujuha wanaofanya watu kwa mgongo wa dini wala haufiati hizo dini wanazosingizia.
 
😀 😀Vile ni mkreketwa na unaumia, gari ikipita ni kelele so kila kitu ni hivyo....Mawaidha ni kwa wote labda kama ulifuatwa kweny nyumba yako ndio useme.

Lete ushahidi mimi nitakulipa faina unayotaka , kama hayo makelele walikuja kupiga nyumbani kwako ...Uko poirni na kiwanja cha 17*17 Lazima upate hayo makelele.

Of course kwa akili za mtu ambaye hawezi ku establish effects za jambo fulani, lazima ataongea kama wewe. Wewe unaelewa maana ya noise pollution? Kama hii concept huielewi itakuwa ngumu kujadili na wewe.
Watafiti wetu wakitafiti madhara ya zile kelele za alfajiri, watagundua madhara makubwa sana kwa watu wanaoishi katika ujirani unaozunguka msikiti. Msikiti hauna tofauti na kiwanda kwa habari ya kelele. Lugha ambayo ikizungumzwa haieleweki ni kelele.
😛 😂😀
 
Of course kwa akili za mtu ambaye hawezi ku establish effects za jambo fulani, lazima ataongea kama wewe. Wewe unaelewa maana ya noise pollution? Kama hii concept huielewi itakuwa ngumu kujadili na wewe.
Watafiti wetu wakitafiti madhara ya zile kelele za alfajiri, watagundua madhara makubwa sana kwa watu wanaoishi katika ujirani unaozunguka msikiti. Msikiti hauna tofauti na kiwanda kwa habari ya kelele. Lugha ambayo ikizungumzwa haieleweki ni kelele.
😛 😂😀
Noise pollution wewe ndio huelewi kasome tena mara ya pili ...Then uje nikueleweshe .!
 
Back
Top Bottom