U - 'nice guy' umeniponza

U - 'nice guy' umeniponza

Yeah, bad boys tupo hapa, waongezee sauti mabishoo wasikie
Naaa....hakunaga kitu huwa inavuruga kichwa cha mwanamke kama kukutana na bad boy halafu hana hela....

"Yani be likeee ooh bad boy, mtamu kama hela ya ada, ooohh jameni viuno vyooote halafu iishe na ahsante!!! Ooohh no no namuacha siwezi, ooohh siwezi muachaaaa anakunaga kila mahali ooh no hanipi kitu ntamuacha namuacha oooohh simuachi analambaga kila kitu"
Screenshot_20210918-201346.png
 
Embu jaribu kukaa upande wa manzi.

Imagine umekwenda sokoni au sehemu yoyote iliyochangamka kutafuta kitu chochote. Au let say unapita zako tu maeneo ambayo yana frame nyingi zinazouza vitu vinavyofanana (japo wauzaji ni tofauti, ofcourse).

Kwenye kutembea tembea uka notice kuna mahali watu wanaingia sana na kutoka. Japo ukiangalia bidhaa zinazouzwa zipo pia kwenye frame zingine ambazo mzunguko wake wa watu ni mdogo sana.

Unadhani utatamani kuingia kwenye frame ipi? Obvious utaingia ile ambayo watu wengi wanaingia. Out of Curiosity, lazima kitu ki click kichwani as why watu wanaenda sana pale? Kuna nini? Kuna promotion? Au jamaa ana vunja bei? Then utajikuta umeshaingia na wewe.

So people more often than not, wanapenda kwenda sehemu ambayo watu wengi wanaenda. Same way kwa mwanamke mzuri. Utakuta wanaume wanaomvizia ni wengi sana. Lakini bado kuna mtu haachi kuhangaika naye.

Ideas zingine zilizotolewa na wadau ni nzuri pia. Nimeamua tu kuongezea na hii maana nimeona kama huu mtazamo haujazungumzwa bado huko juu.

Ushauri (kulingana na unavyotaka wewe): Fanya namna frame yako na wewe ionekane inatembelewa na watu wengi then wengine watakuja tu. Na wakija wapokee sio uwaringie tena.[emoji1474]
 
Watu wanaclaim wao ni bad boy at alarming rate na wanakwambia kua bad boy kunakuguarantee constant sex this is a lie.

Huyu dogo anadanganywa.

Kila mtu ana namna yake ya kumfanya awe na constant supply of pussy. Over time utagundua kwamba kushindana na K ni masihara utaacha hayo mambo.

Pia acha kujifananisha na mwanaume mwingine kwamba mbona mshamba tu halafu ananipiku, au havai vizuri, anavuta bangi. Watu wanakushauri uvute bangi ili umvutie demu, usiwe fala, mimi sijawahi kuvuta bangi, sigara, sijawahi tumia kilevi chochote lakini siwezi jiita nina bahati mbaya when it comes to women.

Niliwahi fanya interview kupitia Plum wakanievaluate na kunipa my 3 top talents mojawapo ni 'Persuasion' so fanyia kazi hapo.
Screenshot_2021-11-10-22-21-48-70.jpg
 
Nilidhani umekosa hela kumbe umekosa demu

Acha undezi

Acha akapunguziwe virusi wewe nunua wine kunywa hapo geto kwako shushia mziki au Korean series

Wanawake huwa hawajui wanachotaka sio kosa lako
 
Yani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.

Sasa mimi kitabia ni nice guy sana yani ni mtu nisiye na mambo mengi huwa nipo bize tu na shughuli zangu, madem wengi wamekuwa wakijilenga sema huwa atufiki mbali tunaachana na
Dah mzee story yako imenichoma mpka mm nimehis kuumia utazan ni mm.[emoji16] all in all pole sana mkuu niko siti ya mbele hp
 
Yani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.
Huo u nice guy ndio mtaji wako na umekuokoa kwa huyo demu mhuni,baki hivyihivyo na utakuja kupata demu wa calibre yako na utaenjoy sana.
 
Mkuu unachokitaka ni sawa na kutembea kwa miguu katikati ya barabara ya mabasi yaendayo kasi.....

Mkuu baki na udumu katika njia yako huku sio sehemu sahihi sana....

Akili za kupewa changanya na za kwako....

Sio lazima kila kitu kwenye hii dunia ukifanye .....
 
Huo u introvert wako unatokana na nini usje kuwa unajipa vyeo kumbe umekosa self esteem.

Tatizo lako kubwa hauna confidence!

Jambo la kwanza kabisa mwanamke analovutiwa na jinsia ya kiume ni confidence...

Rekebisha mambo yanayokufanya ukose confidence ( mfano mavazi , style ya kunyoa usafi) jiweke vizuir itakuongezea kujiamini...

Confidence katika maongezi yako .. tone yako inatoka vipi? Huwa unaongea na mwanadad ukiwa calm and relaxed au unapatwa na kigugumizi na kuongea sauti ya uwoga uwoga ??


Pia kwa maelezo yako inaonekana wewe huwa una mu approach mwanadada kwa gia za urafiki... yani unaanzisha nae urafiki uanjifanya mtu mwema a good boy ukitarajia mwanadada huyo atavutiwa na wewe na kupata hisia za kimapenzi juu yako kwasababu ya ugood boy wako?

Create a sexual vibe toka mwanzo unaongea nae ajue kabisa nia na madhumuni yako haswa ni nini, body language aina za mada unazochaguwa kuzungumza.. tofautisha kuongea na dada, rafiki na mpenzi...
Ushauri mzuri sana huu nimeuelewa vema
 
Back
Top Bottom