Kindred Spirit
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 260
- 375
Hata kabla hawajaenda utumwani Misri ile ardhi ilikuwa yao. Tangu mwanzo Mungu alimwambia Mwisreal atakutana na taabu na kutawanywa iwapo imani yake kwa Mungu itashuka.
Na imekuwa hivyo ever since. Ni jamii pekee duniani inayoishi kwa kutanga tanga na makazi yake kukaliwa na wengine, tena mara nyingi tu . Na ni lazima aendelee kuishi pale aitimize ahadi ya Mungu.
Mwisho wenyewe wa dunia unaihitaji Israel iwe katika hali fulani kwa tukio lile la mwisho kutokea. Hivyo hawana namna ni lazima wataendelea kutaabika ili kutimiza mipango ya Mungu. Athari ya kuwa mtoto pendwa wa Mungu.
Ila somehow mambo yatajibalance na hatimaye tufikie hatma na haya yote yaishe, ndipo tutakapopewa mbingu mpya na nchi mpya! Until then, moto mabomu na makombora yataendelea kusikika sana tu.
Na imekuwa hivyo ever since. Ni jamii pekee duniani inayoishi kwa kutanga tanga na makazi yake kukaliwa na wengine, tena mara nyingi tu . Na ni lazima aendelee kuishi pale aitimize ahadi ya Mungu.
Mwisho wenyewe wa dunia unaihitaji Israel iwe katika hali fulani kwa tukio lile la mwisho kutokea. Hivyo hawana namna ni lazima wataendelea kutaabika ili kutimiza mipango ya Mungu. Athari ya kuwa mtoto pendwa wa Mungu.
Ila somehow mambo yatajibalance na hatimaye tufikie hatma na haya yote yaishe, ndipo tutakapopewa mbingu mpya na nchi mpya! Until then, moto mabomu na makombora yataendelea kusikika sana tu.