FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.
Una uhakika awamu hii tu?
Huna shemeji au mjomba wa Kiarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.
Kwahyo ndege haina msaada?Mwaka 1961 Tanzania alikua inatoa misaada ya chakula UAE walikua masikini wa kila kitu zazibar ilikua inamaendeleo kuliko Dubai sasa mwaka 2025 UAE inatoa msaada ndege ya mtumba outdated technology kwa Tanzania.......CCM oyeeeeeeeee
Kwani tuko vitani mkuu?Kwahyo ndege haina msaada?
Ushafika congo ukajua ndege hii ni ya mizigo.Ile ndege syo ya mizigo mkuu
Arv zimesaidia na kuokoa maisha ya mamilioni ya watu, watoto wangapi life yao imekuwa spared kwa sababu wazazi wao wamesaidiwa na ARV?Hii ndio misaada achana na ile ya condom na arv
Niambie joisi cha woteTUMBILI WA MJINI
Punguza kukunwa wewee ARV sio sifaArv zimesaidia na kuokoa maisha ya mamilioni ya watu, watoto wangapi life yao imekuwa spared kwa sababu wazazi wao wamesaidiwa na ARV?
Waaarabu na waswahili wapi na wapi kwenye ujirani.Hutaki ujirani mwema? 😂
Inashangaza!Msaada wa silaha ya kivita?
Unataka arv na condom?Msaada wa silaha ya kivita?
Takrima kwa kuwapa bandati, misitu na KIA.Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.
#HabarileoUPDATES
View attachment 3226231View attachment 3226232
Punguzeni udini jamani utawaua! Sasa wakichukua bandari tunalalamika!Kuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.
Hao hutakiwi kuwa karibu nao huwa wanatoa marinda mf. Zenj, mombasa, pwani, Tanga.Una uhakika awamu hii tu?
Huna shemeji au mjomba wa Kiarabu?
Hayajakukuta mshamba wewePunguza kukunwa wewee ARV sio sifa