UAE yakabidhi ndege kwa JWTZ

UAE yakabidhi ndege kwa JWTZ

Mwaka 1961 Tanzania alikua inatoa misaada ya chakula UAE walikua masikini wa kila kitu zazibar ilikua inamaendeleo kuliko Dubai sasa mwaka 2025 UAE inatoa msaada ndege ya mtumba outdated technology kwa Tanzania.......CCM oyeeeeeeeee
Kwahyo ndege haina msaada?
 
Pesa ya kununua yutong zipo ila za vifaa vingine anhaaa
 
Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

#HabarileoUPDATES

View attachment 3226231View attachment 3226232
Takrima kwa kuwapa bandati, misitu na KIA.
 
Kuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.
Punguzeni udini jamani utawaua! Sasa wakichukua bandari tunalalamika!
Wametuletea ndege ya bure kwa ajili ya jeshi letu pia tunalalamika!
Kwahiyo hamtaki urafiki wowote na waarabu ! Basi iambieni serikali ivunje mahusiano ya kidiplomasia! Mabalozi wa nchi za kiarabu waliopo hapa TZ warudi kwao na mabalozi wetu waliopo uarabuni warudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom