UAE yakabidhi ndege kwa JWTZ

UAE yakabidhi ndege kwa JWTZ

Ndege ya mizigo hii ?...

T14 Armata
Ndege hasa ya kusafirisha viongozi jeshini. Inabeba mizigo kidogo na paratroopers inabeba kwa kiasi. Inaweza fanyiwa configurations kadhaa, haikuwa na umuhimu mkubwa sana uzuri hatujainunua maana kuna order ya Spartans sijui ngapi hizo ndio zina msaada mkubwa.
 
Utashangaa jamaa wanamilikishwa mbuga ya wanyama kama malipo ya siri ya huo mtumba!
Lakini kwanini hizo raslimali wakipewa mabeberu wa ulaya na Amerika huwa hamlalamiki ?!
Akipewa mwarabu ndio maneno yanakuwa mengi ni kwanini lakini?!
 
Haya ni mambo ya kawaida. Marekani ilitawaliwa na uingereza lakini kwasasa uingereza ni kibaraka wa Marekani
Mwaka 1961 Tanzania alikua inatoa misaada ya chakula UAE walikua masikini wa kila kitu zazibar ilikua inamaendeleo kuliko Dubai sasa mwaka 2025 UAE inatoa msaada ndege ya mtumba outdated technology kwa Tanzania.......CCM oyeeeeeee
 
IMG_20240722_170027.jpg
 
Ha ha ha.

huo ni mtumba wa ndege.😜
jiulize tu U.A.E wanatengeneza ndege?

utakuta hao washalegezwa hao, hiyo ndege ikiwa inaruka kwenda kufanyiwa cjui maintainance level nn cjui huko ilipotoka, wanabeba ile banataka. ukiuliza unaambiwa umpigie Waziri wa Nje ama Ulinzi, yani ndio maagizo kutoka juu.

ngoja pro trump waje.
 
Lakini kwanini hizo raslimali wakipewa mabeberu wa ulaya na Amerika huwa hamlalamiki ?!
Akipewa mwarabu ndio maneno yanakuwa mengi ni kwanini lakini?!
Una uhakika huwa silalamiki! Mimi kwangu mwizi ni mwizi tu.
 
🤣 kweli Trump ana haki kufungia misaada Afrika.Yani tumeshindwa kwa rasilimali zote zilizopo Tz kununua ndege za jeshi kwa pesa ya ndani.Au ndege ya kubebea wanyama kupeleka huko.
Kama Rasia anapewa msaada wa kijeshi nini Tanzania.
 
Watwala wa.rasilimali zetu NI wapumbavu...wabinafsi...
 
Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.

Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.

#HabarileoUPDATES

View attachment 3226231View attachment 3226232
Inafanana na ile iliyoonekana mbugani, wakiipima dna huenda watavikuta viashiria.
Tuseme imestaafishwa rasmi.
 
Back
Top Bottom