Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wamekabidh C-27 spartan, tactical transport airplane. Good news jeshTanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.
#HabarileoUPDATES
View attachment 3226231View attachment 3226232
Ndege ya mizigo hii ?...Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.
#HabarileoUPDATES
View attachment 3226231View attachment 3226232
Pumbavu weweHayajakukuta mshamba wewe
Kwani uliambiwa ni ndege ya kivita,Kwani tuko vitani mkuu?
Watu akili zimejaa kuibiwa tu, tunajijua kabisa Kuna vitu hatujiwezi lakini anatokea mwenye uwezo tunaanza kuhisi kuibiwa🙌Punguzeni udini jamani utawaua! Sasa wakichukua bandari tunalalamika!
Wametuletea ndege ya bure kwa ajili ya jeshi letu pia tunalalamika!
Kwahiyo hamtaki urafiki wowote na waarabu ! Basi iambieni serikali ivunje mahusiano ya kidiplomasia! Mabalozi wa nchi za kiarabu waliopo hapa TZ warudi kwao na mabalozi wetu waliopo uarabuni warudi nyumbani.
Wewe hukutolewa kinaposomwa kitabu cha King James?Hao hutakiwi kuwa karibu nao huwa wanatoa marinda mf. Zenj, mombasa, pwani, Tanga.
Mama mwenzake.Huyu mama Tax kuwa waziri wa Ulinzi ,sijui walifikiria nini!
Utashangaa jamaa wanamilikishwa mbuga ya wanyama kama malipo ya siri ya huo mtumba!Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.
#HabarileoUPDATES
View attachment 3226231View attachment 3226232
Vyabure gharamaTanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Ngorongoro silencersKuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.