T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Ndege hasa ya kusafirisha viongozi jeshini. Inabeba mizigo kidogo na paratroopers inabeba kwa kiasi. Inaweza fanyiwa configurations kadhaa, haikuwa na umuhimu mkubwa sana uzuri hatujainunua maana kuna order ya Spartans sijui ngapi hizo ndio zina msaada mkubwa.
baba ako ndio anaefaa?Huyu mama Tax kuwa waziri wa Ulinzi ,sijui walifikiria nini!
Kwa hio sasa hivi mfe tu na ngwengwe au sio?Hii ndio misaada achana na ile ya condom na arv
Hapo ulitaka kusemaje yaan?baba ako ndio anaefaa?
Kula na kuliwa jk alisemaga sasa watu wanawasisi wao wataliwa niniSasa mtu akikupatia kitu ukatae?
Lakini kwanini hizo raslimali wakipewa mabeberu wa ulaya na Amerika huwa hamlalamiki ?!Utashangaa jamaa wanamilikishwa mbuga ya wanyama kama malipo ya siri ya huo mtumba!
Mwaka 1961 Tanzania alikua inatoa misaada ya chakula UAE walikua masikini wa kila kitu zazibar ilikua inamaendeleo kuliko Dubai sasa mwaka 2025 UAE inatoa msaada ndege ya mtumba outdated technology kwa Tanzania.......CCM oyeeeeeee
Naona unahaha ndio mzinunue sasaKwa hio sasa hivi mfe tu na ngwengwe au sio?
Kaamwambie yule mnaemsifia mamaanaupiga mwingi anunue ARV za kutosha tupunguze misibaNaona unahaha ndio mzinunue sasa
We kufa tu tukupunguzie msiba? Na mpaka mtheme hamna cha arv wala varKaamwambie yule mnaemsifia mamaanaupiga mwingi anunue ARV za kutosha tupunguze misiba
Kwa hio VAR hakuna wala ARV hakuna ila Condom zipo?We kufa tu tukupunguzie msiba? Na mpaka mtheme hamna cha arv wala var
Una uhakika huwa silalamiki! Mimi kwangu mwizi ni mwizi tu.Lakini kwanini hizo raslimali wakipewa mabeberu wa ulaya na Amerika huwa hamlalamiki ?!
Akipewa mwarabu ndio maneno yanakuwa mengi ni kwanini lakini?!
Kama Rasia anapewa msaada wa kijeshi nini Tanzania.🤣 kweli Trump ana haki kufungia misaada Afrika.Yani tumeshindwa kwa rasilimali zote zilizopo Tz kununua ndege za jeshi kwa pesa ya ndani.Au ndege ya kubebea wanyama kupeleka huko.
Hili ni shamba la bibi, kila mtu anafanya anavyowezaKuna kitu hakipo sawa. Waarabu wanatuzoea sana awamu hii.
Inafanana na ile iliyoonekana mbugani, wakiipima dna huenda watavikuta viashiria.Tanzania imepokea ndege kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imetolewa kwa ajili ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mapokezi hayo yameshuhudiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Tax, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, viongozi wa serikali na jeshi pamoja na Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu, Luteni Jenerali Mstaafu, Yacoub Mohamed.
Waziri Tax ameeleza kuwa ndege hiyo ni sehemu ya msaada wa jeshi la UAE ambao uliambatana na mafunzo kwa marubani wa Jeshi la Tanzania.
#HabarileoUPDATES
View attachment 3226231View attachment 3226232