Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

Konny Joseph

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
118
Reaction score
199
Screenshot_20240925-103147_Instagram.jpgScreenshot_20240925-103152_Instagram.jpg
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-103147_Instagram.jpg
    Screenshot_20240925-103147_Instagram.jpg
    595 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240925-103152_Instagram.jpg
    Screenshot_20240925-103152_Instagram.jpg
    497 KB · Views: 15
Niachane na nini labda??
Usitegemee jeshi pekee, piga kazi.

Kama unapenda jeshi weka mwili fresh piga tz one day ✅.

Kuhusu jeshi la polisi nao wana siri zao, lakini kwa sababu jeshi la polisi lilianzishwa ili kushirikiana na raia katika kuhakikisha raia wanaishi katika usalama na mali zao, hivyo halina siri kubwa sana ukilinganisha na jeshi la wananchi ambako ndiko kitovu cha kijeshi kilipo
 
Usitegemee jeshi pekee, piga kazi.

Kama unapenda jeshi weka mwili fresh piga tz one day ✅.

Kuhusu jeshi la polisi nao wana siri zao, lakini kwa sababu jeshi la polisi lilianzishwa ili kushirikiana na raia katika kuhakikisha raia wanaishi katika usalama na mali zao, hivyo halina siri kubwa sana ukilinganisha na jeshi la wananchi ambako ndiko kitovu cha kijeshi kilipo
Xawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.
 
Xawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.
Kati ya JWTZ na polisi, ni jeshi gani ambalo mtu akiwa na shida ataenda kueleza shida yake kwa haraka?
 
Kati ya JWTZ na polisi, ni jeshi gani ambalo mtu akiwa na shida ataenda kueleza shida yake kwa haraka?
Kwasababu jeshi la polisi lipo karibu zaidi na wananchi, ndio maana hata siri zake huwa ni rahisi kuvuja, na halitakiwi kuwa na siri kubwa kama za JWTZ
 
Kama kuna taasisi inaendeshwa kwa kujuana ni Jeshi, jwatz,it's very unfortunate,
Laiti watu wangekuwa wanaajiliwa, kwa ujuzi sio kujuana, meritocracy.
Hapo ujue, wameishaweka watoto wao, wewe kama huna mjomba wala shangazi huko, hupati kitu, na kwa vile fulsa za, ajira ni chache,kila kijana anataka kuwa polisi, majeshi, sio, kwa sababu wanania saaana ya kuwa wapiganaji, watu wanataka salary tu,
 
View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
 
Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
Tatizo hujikiti kwenye kujibu hoja ya msingi.
Unaishia kulinganisha vitu pasi na tija yeyote.

Hakuna taasisi kubwa kuliko taasisi nyengine,zote ni taasisi na zipo kwa mujibu wa sheria,na zinapaswa kwenda sambamba na sera za nchi!!
 
Kama kuna taasisi inaendeshwa kwa kujuana ni Jeshi, jwatz,it's very unfortunate,
Laiti watu wangekuwa wanaajiliwa, kwa ujuzi sio kujuana, meritocracy.
Hapo ujue, wameishaweka watoto wao, wewe kama huna mjomba wala shangazi huko, hupati kitu, na kwa vile fulsa za, ajira ni chache,kila kijana anataka kuwa polisi, majeshi, sio, kwa sababu wanania saaana ya kuwa wapiganaji, watu wanataka salary tu,
Critical facts!!!
 
jeshi ni moja tu, jwtz

hao wengine ni matawi...

NB:jwtz haliajiri,linaandikisha

kama kuna mengine nimesahau bas wanajeshi wenyew watakuja kujazia
 
View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
Brother naomba uelewe polisi siyo jeshi ni vibaraka wa bibi,Jeshi ni moja 2 JWTZ for life
 
Back
Top Bottom