Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

Uajiri Ndani ya JWTZ Bado Una Utata na Ukakasi.

Jeshi La Ulinzi La Wananchi Wa Tanzania
Haliajiri Isipokuwa Linaandikisha Yaani Unajitolea Ikiwezekana Hadi Kufa
 
Usitegemee jeshi pekee, piga kazi.

Kama unapenda jeshi weka mwili fresh piga tz one day ✅.

Kuhusu jeshi la polisi nao wana siri zao, lakini kwa sababu jeshi la polisi lilianzishwa ili kushirikiana na raia katika kuhakikisha raia wanaishi katika usalama na mali zao, hivyo halina siri kubwa sana ukilinganisha na jeshi la wananchi ambako ndiko kitovu cha kijeshi kilipo
Kuna kitu kinaitwa time, kinaenda. So hapa kuweka mwili fresh si issue , swali ni je hiyo bahati itamkuta akiwa in time?
 
View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
Why single out JWTZ? The whole system is corrupt through and through.
Hivi unewahin ku apply tender serikalini au idara/shirika lolote la umma. I don't think so. La sivyo usinge post hii.
 
Why single out JWTZ? The whole system is corrupt through and through.
Hivi unewahin ku apply tender serikalini au idara/shirika lolote la umma. I don't think so. La sivyo usinge post hii.
Pamoja na changamoto zilizopo huko lakini kuna aina ya uwazi imewekwa.

Issue sio kupata au kukosa ajira,issue ni uwazi na mianya ya wazi ya rushwa.
 
Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
Jeshi lilifagia, jeshi lilisomba korosho kwa malori. Tofauti yake na polisi ni nini?
Kuna la ajabu gani hapa mbona taasisi za kibongo zote zinafanana tabia.
 
Jeshi lilifagia, jeshi lilisomba korosho kwa malori. Tofauti yake na polisi ni nini?
Kuna la ajabu gani hapa mbona taasisi za kibongo zote zinafanana tabia.
Hayo ni machache kati ya maovu unayoyafahamu.

Watu wengi wanachoangalia ni kwamba hawawaoni wanajeshi barabarani wakikagua magari.

Au kuingia mitaani na kukamata polisi.Hivyo wanawaona wanajeshi ni wema kuliko Polisi.
 
View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
Kuna hoja , unatakiwa kujibiwa
 
Kuwa mpole mkuu, mifumo ya jeshi ipo hivyo duniani kote. Jeshi huajiri wanajeshi wa mshahara, pengine kwa upendeleo. Lakini vita ikitokea wanaume wote mnaswagwa kwenda kutetea nchi!
 
Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
Mwanakeshi akijipigia chapuo kwamba yeye ni Bora😅😅😅😅
 
View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.

Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.

Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.

Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.

Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??

Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??

Naomba mazingatio!!
Jeshini(JWTZ) hakuna ajira bali kuna uandikishwaji na ndiyo maana hawana Salary bali Pay Slip.
 
Xawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.
Kama unaandika xawa badala ya sawa,jeshi wamefanya sahihi kuchuja wajuavyo, zamwamwa kama wewe huwezi kabidhiwa dhamana ya kulinda mipaka yetu
 
Xawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.
Kuitwa jina haimaanish watangaze kila kitu. Is why wana siri zao na state secrets pia. Lakin hata sikumoja huwez sikia wanazitangazq hadharani jus becaus eni la wananchi
 
Back
Top Bottom