Inspector Jws
Senior Member
- May 23, 2024
- 126
- 242
N kweli mkuujeshi ni moja tu, jwtz
hao wengine ni matawi...
NB:jwtz haliajiri,linaandikisha
kama kuna mengine nimesahau bas wanajeshi wenyew watakuja kujazia
Kuna kitu kinaitwa time, kinaenda. So hapa kuweka mwili fresh si issue , swali ni je hiyo bahati itamkuta akiwa in time?Usitegemee jeshi pekee, piga kazi.
Kama unapenda jeshi weka mwili fresh piga tz one day โ .
Kuhusu jeshi la polisi nao wana siri zao, lakini kwa sababu jeshi la polisi lilianzishwa ili kushirikiana na raia katika kuhakikisha raia wanaishi katika usalama na mali zao, hivyo halina siri kubwa sana ukilinganisha na jeshi la wananchi ambako ndiko kitovu cha kijeshi kilipo
Why single out JWTZ? The whole system is corrupt through and through.View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.
Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.
Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.
Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.
Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??
Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??
Naomba mazingatio!!
Pamoja na changamoto zilizopo huko lakini kuna aina ya uwazi imewekwa.Why single out JWTZ? The whole system is corrupt through and through.
Hivi unewahin ku apply tender serikalini au idara/shirika lolote la umma. I don't think so. La sivyo usinge post hii.
Jeshi lilifagia, jeshi lilisomba korosho kwa malori. Tofauti yake na polisi ni nini?Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
Hayo ni machache kati ya maovu unayoyafahamu.Jeshi lilifagia, jeshi lilisomba korosho kwa malori. Tofauti yake na polisi ni nini?
Kuna la ajabu gani hapa mbona taasisi za kibongo zote zinafanana tabia.
Kuna hoja , unatakiwa kujibiwaView attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.
Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.
Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.
Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.
Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??
Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??
Naomba mazingatio!!
Mwanakeshi akijipigia chapuo kwamba yeye ni Bora๐ ๐ ๐ ๐Sasa unalinganishaje Jeshi na chombo kidogo kama polisi? Yaani ninyi bado mnafikiri Jeshi ni chombo kinacholinganishika na taasisi ndogo ya kiraia kama polisi!
Jeshini(JWTZ) hakuna ajira bali kuna uandikishwaji na ndiyo maana hawana Salary bali Pay Slip.View attachment 3106131View attachment 3106132
Masiku kadhaa ulipita mjadala juu ya mchakato wa ajira ndani ya JWTZ,mchakato ambao umeonekana kugubikwa sana na walakini kutokana na ulivyoendesha.
Tangazo la ajira lilitolewa,ila baada ya watu kuomba hakukuwa na taarifa yeyote kuhusiana na waliochaguliwa.Zaidi tu tulipata taarifa kwamba waliochaguliwa walipigiwa simu za mkononi kujulishwa kuwa wamechaguliwa na nini cha kufanya.
Tulipohoji,wahafidhina wa mfumo wakatuambia kwamba JWTZ ni jeshi na lina siri,kwa hiyo mambo ya kutangaza waliochaguliwa kwenda kwenye usaili ni jambo nyeti ndio maana likafanywa kwa mfumo huo.
Jana jeshi la polisi wametoa tangazo na orodha ya watu waliochaguliwa kwenda kufanya mafunzo ya polisi moshi.
Ninachohoji mm binafsi ni kweli Jeshi la Polisi wao hawana siri??
Ni kweli jeshi la polisi wao ndio wana mambo ya kiraia na kuleta siasa ndani ya jeshi hilo la Polisi??
Naomba mazingatio!!
Kama unaandika xawa badala ya sawa,jeshi wamefanya sahihi kuchuja wajuavyo, zamwamwa kama wewe huwezi kabidhiwa dhamana ya kulinda mipaka yetuXawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.
Sio kusafirisha tuu ilibaki kidogo wapewe kazi ya kubangua koroshoJeshi lilifagia, jeshi lilisomba korosho kwa malori.
Kuitwa jina haimaanish watangaze kila kitu. Is why wana siri zao na state secrets pia. Lakin hata sikumoja huwez sikia wanazitangazq hadharani jus becaus eni la wananchiXawa ila hiyo dhana unayoiongelea kiitifaki haipo,majeshi yote yapo kwa ajili ya wananchi,tena JWTZ ndio zaidi ndio mana hata jina lake linaakisi huo ukweli.