Kwa kawaida kila kiumbe Mwenyezi Mungu amekiandikia riziki yake,vile vile neema huwezi kuiona umuhimu wake mpaka itakapo ondoka!,swala la utajir ni mipangilio ya mtu mwenyewe.Mi ninaye Mwl wangu,anafundisha Primary lakin ana nyumba 3 za maana na amepangisha na ana mashamba ya michungwa na gari kifupi anawazidi hata hao wanaojiita wamesoma vyuo kwa kipato na amekataa kabisa kwenda kujiendeleza kwani amejitosheleza.Je huyu utasema anafanya kazi TRA?,huyo anayekwambia UALIMU ni kupoteza muda ya huko DUCE anafundishwa na MAZOMBI?,mwambie aende WIZARA akaone watu wanavyobembeleza kupata nafasi,hatuwezi dunia nzima kusoma DUCE.Mungu ameweka mgawanyo huu kila mtu asikufuru kuish bila kazi!,haya vip wale wanaoshinda mitaani kama we unasema kaul hyo?,kwel huyo anafaa kuwa hata Balozi wa mtaa?.Ahsante