"ualimu ni kupoteza muda"

Wakati nasoma elimu yangu ya juu nilifundishwa rational and reasonable thinking katika phillosoph, all i know ni kwamba elimu mchango wake ni mdogo sana ..kukupa maharifa,ila kufanikiwa kwako kunategemeana sana na akili yako binafsi (nature) uliyoumbwa nayo
 

hakika wewe wasema
 

Kumbe wewe ni GREAT THINKER NAMNA HII?
 
kAZI YA UALIMU NI KAZI NZURI NA YA HESHIMA KAMA KAZI NYINGINE TATIZO NI SIASA ZA NCHI HII,NAKUSHAURI KWA HALI TULIYONAYO YA AJIRA SASA KAMA HAUTAKI KUTEMBEA NA BAHARA MPAKA KIATU KIISHE SORE SOMA UALIMU BAADA YA HAPO ZITAFUTE NDOTO ZAKO MAANA BADO UTAKUWA NA MUDA NA MKONO UMESHIKA KITU KURIKO KUITAFUTA 2 WAKATI HATA 1 HAUNA.
 

Nakubaliana na wewe ualimu ni sawa na chama cha masikini. Walimu wanaofanikiwa kiuchumi ni wale wenye juhudi binafsi(wakati huo wanakuwa watoro kazini), wanaobahatika kuwa maafisa elimu wilaya au mkoa, wakuu wa shule(kwa kuiba) na maafisa wa juu serikalini. Waliobaki ni masikini
 
Ndiyo hivyo,hakuna overtime kwenye ualimu,teaching allowance ziliondolewa kitambo,unakatwa CWT,PAYE,LAPF/PSPF n.k,National income,NHIF bado ulipe kodi ya nyumba na usafiri,si unajua shule nyingi siku hizi hazina nyumba za walimu!
Ili ufanikiwe lazima ukomae la sivyo utajaza madeni dukani!
 

Excellent! We need people like you. It does not matter what you do in life, what matters is how you do it. Ni kweli utafika mbali.
 

Na watu wote wangukuwa na upeo kama wa kwako hata haya maandishi usingeweza kuyalambaza humu.
 
Nyakageni
kama unafundisha na wote wako kimya, hiyo ni ROTE LEARNING! Darasa lazima lichangamke. Participatory approach is the best

Mkuu, wanafunzi wa namna hii siyo "potential" kwa "participatory approach", aidha hawajui kusoma wala kuandika watazipataje nondo za kutumia kwenye "participation"?
 
Na watu wote wangukuwa na upeo kama wa kwako hata haya maandishi usingeweza kuyalambaza humu.

Kilio changu sio kua naidharau hiyo kazi. Sasa hivi kila mtoto afundishwe na bibi yake. Maswala ya mwalimu kumfundisha Mwanafunzi mpka mjukuu wa mwanafunzi yake, huku wakija na magari shuleni huku mwalimu huyo alie wafundisha hata shati la kubadili hana, ni kejeli kubwa kwa taaluma Hiyo.
 
kazi ya ualimu ni kazi nzuri sana kuanzia kozi za ualimu hadi kazi yenyewe...ukiwa mwalimu mwenye mipango mizuri utafanikiwa sana na kufanya mambo mengi katika jamii..cha muhimu ili usipoteze Muda kuwa na malengo na hakikisha yanafanikiwa pia penda unachokifanya na kuwa na changamko...tumia fursa zote unazokutanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…