Ualimu umenipa mtaji,

Hongera nyingi kwake
 
Ja
Viazi unalima kwa muda gani mzee, na nguruwe mzunguko wake unaujuaa, bei ya ngombe wa maziwa unaijua , gari unanunua tsh ngapi, nyumba unatakiwa uwe na shilingi ngapi, nimefanya kilimo kwenye mashamba ya familia toka mwaka 2014, nilikopa huku najua excatly kinachoeendelea kwenye kilimo
 
I just said you are lucky
 
Hongera sana........kwenye kila stori ya mafanikio kuna zaidi ya 90% ya ukweli hufichwa.
Hii Tanzania ilivo na ubaguzi na ukabila from no where mtu atoke Mbeya awe mwalimu mkoa wa mara,Kagera,Simiyu atatoboa,......Never.
Hata ugawe maziwa bure,hakuna atayekunywa.
Inategemea na sehemu na nini unachokifanya,......na upande mwengine wa stori(90%),hakuna atakayesimulia
 
Wewe ni mwalimu wa UPE mbona Kiswahili chako kina matege mfano "udhoefu"
Vipi huna mke/mchunba nikupe danga langu la zamani linataka kuolewa na mwalimu.
 
Nilimaliza sheria 2012 , then nilisota mtaani hadi mwaka 2015 nilipopata ajira za ualimu wa serikali,sikuona umuhimu wa kwenda law school .
Hakuna Mwalimu mwenye cheti cha Sheria aliyeajiriwa na serikali, otherwise ulikuwa na cheti au diploma ya ualimu kabla hujasoma sheria.
 
Hahahahaha motivation speaker uliyasema haya juzi kwenye uzi wa mwenzako watu wakakushambulia naona umefungua uzi kabisa hahahhahaha
 
Dah
 
Hahahahaha motivation speaker uliyasema haya juzi kwenye uzi wa mwenzako watu wakakushambulia naona umefungua uzi kabisa hahahhahaha
Hofu yako ungejua sio kila ni motivation speaker , nipo kwenye kilimo field, karibu jombe uthibitishe hili, kama upo mbeya uliza watu wa danga. sekondari ndato kuhusu mwAlimu aliyetoboa kupitia viazi ,
 
Hofu yako ungejua sio kila ni motivation speaker , nipo kwenye kilimo field, karibu jombe uthibitishe hili, kama upo mbeya uliza watu wa danga. sekondari ndato kuhusu mwAlimu aliyetoboa kupitia viazi ,
Acha fiksi,jombe ndio wapi?
 
Huyu ni mamruki tu Hana ualimu wowote .....

Walimu sio vilaza Namna hii
 
Take home laki tatu then mkopo mil 10 wadanganye mazuzu[emoji23][emoji23][emoji23] tunaojua haya mambo huwez kutudanganya [emoji23][emoji23]
 
Nia na uthubutu ukiwepo, mafanikio yatapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…