Kuwa na uaminifu kwa 100% inawezekana kabisa bana.....ishu ni muda gani wa uaminifu tu...kama ni siku mbili au tatu inawezekana pasipo na shaka........
copy, UKOO ovaa!!Uaminifu ni wakati wa hanemuni tu......ofkoz hapa urefu wa hanemuni unatofautiana...
kazi ipo kwa kweli, mtu ndio unaonaaa na wewe umepataaa? namuonea huruma mdogo wangu Rose....ngoja nile nyanya chungu mie, uaminifu nimembakizia mama yangu mzazi.
copy, UKOO ovaa!!
Hivi na wewe ni mwaminifu? kama ndiyo, kwa nani?
roya speaking from experience
was busy with nyegelesha, namfundisha magazijutoYou had been invisible....no cordinates no nothing...copy roger...
Acheni kuwasingizia Adam na Eva kwani wao ndio wanaokufanya wewe uisaliti ndoa yako
was busy with nyegelesha, namfundisha magazijuto
Sasa hapo hapana....rose hausiki hapa bana.....
nani anahucka na hiyo hasara? mana wewe ni hasara, c ndio Rose unamwita cjui swity cjui honey humu/ umebadili ghafla.
Hivi na wewe ni mwaminifu? kama ndiyo, kwa nani?
Kama sio mwaminifu, sio kwa nani?
Unagawanya mabano unaweka number moja,unafunga mabano, unatoa number mojaunagawanya mabano sio....
This is Big speaking................Orait naona ulikuwa busy na avatar ya nyegelesha i hope haujamaliza boksi la sabuni lol!!!
Mimi ni mwaminifu kwa Mama
nishapoteza mkwe niliyemwamini hana mambo ya Infiiii...mahali yako uliyotanguliza unaweza kuifata
Au kwa mama bikira mariaOrait naona ulikuwa busy na avatar ya nyegelesha i hope haujamaliza boksi la sabuni lol!!!
Mimi ni mwaminifu kwa Mama
This is Big speaking................
unamaanisha mwaminifu kwa mama Big?
Unagawanya mabano unaweka number moja,unafunga mabano, unatoa number moja