Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-
1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)
2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?
3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).
4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.
5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?
6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?
7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?
8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?
9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?
10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?
11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).
12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?
13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?
14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.
NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!
Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.
![]()
Taswira kwa hisani ya google
Sisi hatuna tatizo la ajira hata kidogo kiasi Cha kuulizana maswali magumu kuhusu watu wanaaovamia barabara za magari, njia za waenda kwa miguu na njia za maji. Tanzania ardhi IPO ya kulima, kufuga, kuchimba madini, kuvua na kufanyia biashara. Ardhi ni Mali ya serikali na IPO tele kabisa kila mahali. Vijana wetu waelimishwe kuhusu kanuni na taratibu za kulima, kufuga, kuvua, kuchimba madini, na kufanyabiashara ili tukaijaze ardhi yote kwa uwekezaji kabla wageni hawajaivamia kwa kisingizio Cha uwekezaji huku watu wakitandika chini bidhaa za kichina kuuza.Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-
1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)
2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?
3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).
4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.
5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?
6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?
7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?
8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?
9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?
10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?
11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).
12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?
13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?
14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.
NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!
Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.
![]()
Taswira kwa hisani ya google
Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya. Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
Uko sahihi. Sijui kama viongozi huwa wanatafakari kuona kijana mwenye nguvu za kutunza shamba au mifugo kwa faida anatembeza saa na handkerchief kutoka china. Kikubwa Barabara zijengwe maeneo ya mashambani vijana wajiajiri kwenye kilimo na mifugo.Hakuna madhala yoyote labda kisiasa machinga hawachangii lolote ktk uchumi wa nchi ..
Wanasiasa wanawaofia wamachinga km mtaji wa kisiasa lkn ukweli ni kwamba kuendelea kuwabembeleza ni kupoteza nguvu kazi watanzania umachinga wetu ni kilimo huko ndio kwenye ajira za uwahika km serikali inaamua kuweka mazingira mazuri ya kilimo na masoko hakuna kazi inayoitwa umachinga duniani
Madhara ya kiuchumi ni kua uchumi utapanda maana walipa kodi watafanya biashara zaidi kwani maduka yao yataonekana mbele ya watejaUamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya. Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
Safi sana mkuu,Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya. Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
Hizi ni siasa . Watu wakae kwa mipango Na miji iendelee kupanuka , huduma watu watawafuata sehemu walipo. Ni vizuri katikati ya majiji pawe na maduka ya jumla tu. Rejareja zirudi kwenye mitaa midogo na nje ya miji ili kupanua huduma na biashara.Niliposema maandalizi ya kutosha yafuatayo aghalabu ni muhali hadi sasa kujulikana:-
1 Je, nani anajuwa takwimu halisi za idadi ya Wamachinga nchini? Mwaka 1995 wale wanaotembeza bidhaa (acha wanaotandika bidhaa chini idadi yao ilikuwa sawa na idadi ya watu wa Mwanza Mjini, over 8K)
2. Je, kuna sera, mwongozo kuhusu Wamachinga kwa miaka yote 36 tangu 1985? Kama havipo, tunahitaji miongo mingapi mbele kuandaa tools hizo?
3. Je, soko la Machinga Complex limeleta matokeo gani (kabla ya Kariakoo kuungua vizimba vilikuwa wazi kwa miaka nenda).
4. Je, kuna sensa ya Wamachinga imefanyika? Wako wangapi? Wanawake wangapi? Wanaume wangapi? Drop outs wangapi waliojiunga na Umachinga? Idadi kwa kila mji nchi nzima ni ngapi (ili wasije kuelemea Dar)? Graduates wangapi? Watanzania wangapi? Wachina wangapi? idadi kwa makabila ikoje ili tujuwe mkoa upi hauna mikakati ya kuwa-absorb wasije Dar? nk.
5. Je, Umachinga siyo jibu la madai ya taifa ya kutaka watu wajiajiri? Lkn katika mazingira gani?
6. Je, kuna sehemu zimeandaliwa za kuwameza wote waondoke mitaani?
7. Je, after-effects za kuwaondoa kwa dharura tumezipima tukazijuwa ni zipi na namna gani tumejiandaa kuzimitigate?
8. Je, Wamachinga ni matokeo au zao la mfumo wa elimu tulio nao?
9. Je, Wamachinga ni zao la Economic Model inayoongoza nchi/dunia?
10. Je, Mamlaka za Kodi zime-engage vipi Wamachinga kwenye mfumo wa kodi maana wako wengi sana?
11. Je, kwanini hakuna Sheria ya Bunge (Act of Parliament) inayoratibu shughuli za Wamachinga kwa tija ya taifa? Ikumbukwe idadi yao ambayo hatujaijuwa ni kubwa kiasi kwamba taifa halipaswi kukosa sheria ya kuwaratibu zaidi ya ile sheria ya uzururaji inayobana madadapoa na mission-town (wapiga misele).
12. Je, Sheria ya Nguvu Kazi ya 1984 inasema nini kuhusu Wamachinga? Au wakati sheria hiyo inatungwa Wamachinga hawakuwepo lakini kwamba sasa wapo ni kwanini sheria hiyo isifanyiwe marekebisho ili iwaongelee na wao pia?
13. Je, kwakuwa Umachinga ni zao la mfumo-liberali wa dunia hasa kwenye uchumi ambapo Ujamaa uliokuwa unasisitiza dola kuzalisha na kuwalisha je, ujio wa mfumo mpya uliowazalisha (siyo Ujamaa) unaowataka wale kwa jasho lao umewaandaliaje mazingira wezeshi na jumuishi ili waendelee kula kwa jasho lao wasijekuitegemea dola?
14. Nachelea kuamini kwamba kama sensa ya Wamachinga nchini ikifanyika idadi yao itazidi idadi ya watu wa Zanzibar (1.5ml), watu wa Shelisheli (0.9ml) na huenda ikakaribiana na idadi ya watu wa Lesotho na Eswatini kwa pamoja.
NB.
Fikiria, taifa liwe na kundi dogo la watu wa idadi ya nchi za Eswatini/Lesotho ambao hawalipi kodi kutokana na kwamba hakuna mazingira/mfumo wezeshi yaliyoandaliwa kwa ajili yao kulipa kodi na tozo za serikali? Baghosha!
Wamachinga wako maeneo mengi hata China, Nairobi Kikomba wako tangu enzi za Jomo Kenyatta.
![]()
Taswira kwa hisani ya google
Hahaaa!!mkuu zoezi limeshashika kasi tena maeneo mengi hasa wale wenye mabanda, wameshaanza kuyavunja wenyewe kwani wanajua nini kinaweza tokea baada ya tarehe hiyo, wewe tena una taka kurudisha mambo nyuma tena jamani?Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya. Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
Sure mkuu..fikiria pale rang 3 mpaka ile barabara ya zakhem ice cream imefungwa pale kwenye matengenezo watu wapo hadi barabarani uchafu mtupu.Mlipewa uhuru ulio zidi mipaka
Huyu jamaa sijui alikuwa kwenye usingizi wa pono. Hapo kuna point gani jameniWamachinga wenyewe wamekubali kuhama kwa hiyari na leo wameanza kubomoa vibanda vyao!
Pita temeke!Huyu jamaa sijui alikuwa kwenye usingizi wa pono. Hapo kuna point gani jameni
Wamachinga wapo kwa mujibu wa sheria????Uamuzi wa kuondoa wafanyabiashara wadogowadogo almaarufu Machinga 18 Oktoba, kwa maoni yangu una gharama kubwa kuliko faida/manufaa na kwamba unastahili kupitiwa/kudurusiwa upya. Gharama ziko kiuchumi, kijamii, kiusalama na kisiasa. Sipingani na uamuzi huo, ni mzuri tu, isipokuwa nadhani maandalizi zaidi yanahitajika ili zoezi liwe na tija kwa pande zote husika.
Waondoke TU, tutawafuata hukohuko watakakoenda. Mfano, kama Mayai makubwa na yenye kiini Cha njano yatapatikana kwa wingi na bei nafuu huko mbondole kwa wamachinga wakaanga chips wote dar es Salaam watawafuata hukohuko mbondoleHuyu jamaa sijui alikuwa kwenye usingizi wa pono. Hapo kuna point gani jameni
Good writtings though, walikuwa wapi waliponza kuingina kidogo kidogo hadi kufikia hivi sasa. Influx kubwa ilikuja Rais aliepita aliposema hoadharani waachwe wafanye biashara zao, madhara yalipimwa? je ukusanyaji wa kodi ulikuwaje kwa maduka yenye leceni? kodi zilishuka kwa kiasi kikubwa. Je tuendelee na huu utitiri wa machinga mitaani hadi mfanye research na upate matokeo ndio action ifanyike? Hiyo ni long route the answer. Tuiache serikali ifanye inachoona kinafaa nawaunga mkono kwa asilimia zote. Umetoa mifano kote nimefika huwezi kuta Nairo city center ipo kama Dar es Salaam no way. Narudia tuache cheap politics.
Tafakari haya:-Mkuu Douglas Majwala hongera kwa Kujenga hoja. Hivi mkuu unafanya PhD mahali fulani? Hivi majuzi niliziona tena hoja zako chokonozi kuhusu "Nani ni Rais bora zaidi ambaye tumeshakuwa naye hapa Tanzania" Niseme tu kwamba uandisi kama huu na hoja fikirishi unazoziibua wewe pamoja na Great Thinker wengine zinaifanya JF iwe pia darasa la baadhi yetu
Tafadhali usiwe na hasira unaposoma hoja za Douglas Majwala
Mkuu Douglas Majwala Hongera sana