Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi kama ule walioufanya ni wa kuutetea? Heko RC.Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.
Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?
Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?
Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Kwa nini walichukua hizo ndizi?Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.
Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?
Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?
Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Mgambo wenyewe hata hawajielewi , mnafanya kazi ya kikatili kufukuza watu Kwa ujira wa 5000 Kwa sku , na Sare zao za mitumba
Watafute kazi za kiume watafanyeje kazi kwa ujira wa 5k kwa siku hao Si ndo wezi na matepeli?Hasa jione bora kwa kuwa mpokea fedha benki ya CRDB halafu unaenda nyumbani huna hata mia
ninadhani wewe u mpuuzi zaidi- no mpuuzi ni afadhali sana kuliko MWANAHARAKATI ambaye wewe unasifa zote za kuwa.
sheria hairuhusu kuny'anyanya biashara ya mtu bali kuna hatua za kuchukuwa huenda migambo hawakuelekezwa wakajiongoza.Mtu wa karibu alipatwa na adha ya aina hiyo,mwenyekiti wa mtaa,wagambo tuliwahenyesha mahakamani hadi waliuza mahindi kumlipa mhanga.Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.
Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?
Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?
Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Kupora ndiziKwani walifukuzwa kwa kuuza ndizi au kumtoa machinga sehemu asiyopaswa kuwepo?
Ukisikia kusagiana kunguni ndiyo huku. Wewe hata hauwasikitikii mgambo husda yako inajulikana
Kwani kumfukuza Mmachinga sehemu ni lazima uchukue vitu vyake?Hukuwepo; sikuwepo- wewe ungefanyaje?
Mahakamani mlifungua kesi gani?sheria hairuhusu kuny'anyanya biashara ya mtu bali kuna hatua za kuchukuwa huenda migambo hawakuelekezwa wakajiongoza.Mtu wa karibu alipatwa na adha ya aina hiyo,mwenyekiti wa mtaa,wagambo tuliwahenyesha mahakamani hadi waliuza mahindi kumlipa mhanga.
Na je ni halali askari kumwagia bidhaa zake? Na mtu mmachinga kaweka kwenye torori anatembea?Kwani kumfukuza Mmachinga sehemu ni lazima uchukue vitu vyake?