Uamuzi wa RC Mwanza na Viongozi wa jiji la Mwanza juu ya Mgambo ni uonevu na kukosa msimamo

Uamuzi wa RC Mwanza na Viongozi wa jiji la Mwanza juu ya Mgambo ni uonevu na kukosa msimamo

Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.

Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?

Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?

Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Upuuzi kama ule walioufanya ni wa kuutetea? Heko RC.
 
Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.

Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?

Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?

Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
Kwa nini walichukua hizo ndizi?
 
ninadhani wewe u mpuuzi zaidi- no mpuuzi ni afadhali sana kuliko MWANAHARAKATI ambaye wewe unasifa zote za kuwa.

Aisee unanibambikia sana kisa hasira zako, kaombe mrejeshwe. Pesa za hongo ndizo mmazililia kwa sasa.
 
Tumekuwa na viongozi wa ajabu sana wanaofanya maamuzi kwa mihemuko. RC na viongozi wa jiji Mwanza wameafukuza kazi mgambo waliopigwa picha wakichukua ndizi za mmachinga toka kwenye toroli lake na kuziweka kwenye gari la jiji.

Nina hakika na ninakumbuka wamachinga wamekatazwa kutofanya biashara katika maeneo yasioruhusiwa na watekelezaji wa amri hiyo ni mgambo. Sasa kama mgambo waliokuwa wanatekeleza amri halali- kosa lao ni lipi mpaka wastahili kufukuzwa kazi?

Tuwafanye nini sasa waliowatoa machinga pale Makoroboi na sehemu zingine?

Nawashauri mgambo hao wafungue kesi ya kufukuzwa kazi kwa uonevu
sheria hairuhusu kuny'anyanya biashara ya mtu bali kuna hatua za kuchukuwa huenda migambo hawakuelekezwa wakajiongoza.Mtu wa karibu alipatwa na adha ya aina hiyo,mwenyekiti wa mtaa,wagambo tuliwahenyesha mahakamani hadi waliuza mahindi kumlipa mhanga.
 
Mbona wamempora ndizi kisha wamemuachia uoni ni wizi ule. Hizi Kazi fanya kwa akili
 
Huwa wanapora bidhaa za machinga kisha wanakwenda jilipa mbele
 
Aisee unanibambikia sana kisa hasira zako, kaombe mrejeshwe. Pesa za hongo ndizo mmazililia kwa sasa.
Mie wala sina hasira ila nawachukia sana wanaharakati
 
sheria hairuhusu kuny'anyanya biashara ya mtu bali kuna hatua za kuchukuwa huenda migambo hawakuelekezwa wakajiongoza.Mtu wa karibu alipatwa na adha ya aina hiyo,mwenyekiti wa mtaa,wagambo tuliwahenyesha mahakamani hadi waliuza mahindi kumlipa mhanga.
Mahakamani mlifungua kesi gani?
 
Ila naona sio sahii,maana inasababisha wamachinga wazidi kudharau kauli ya kupangwa sehemu sahii
 
Back
Top Bottom