Uanasheria; Taaluma inayoongoza kwa wasomi wanaoringa

Aaah wapi...nyie wasomi ndo mna maisha magum sana uko mtaan.
Lakin msijali subirini kipind cha pili pengine mtasaidiwa na upepo
Pole sana. Huwezi kuwa na vyote. Hapo unaganga njaa na elimu bado hakuna. Ushauri ni kwamba kama unapata mlo kwa siku, we pambana tu maana elimu huna na maisha huna. Najua inakuuma lakini pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan ww una wivu ka jinga lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa. Lakini si wamesoma?

Kwani wakijiita Manesi Wasomi kuna shida gani? Maana wao ndiyo wanaokoa maisha ya watu

Manesi hawahitaji hizo sifa. Kwanza wao ndio the most trusted profession in the World.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…