rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Aaah wapi...nyie wasomi ndo mna maisha magum sana uko mtaan.
Lakin msijali subirini kipind cha pili pengine mtasaidiwa na upepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin msijali subirini kipind cha pili pengine mtasaidiwa na upepo
Pole sana. Huwezi kuwa na vyote. Hapo unaganga njaa na elimu bado hakuna. Ushauri ni kwamba kama unapata mlo kwa siku, we pambana tu maana elimu huna na maisha huna. Najua inakuuma lakini pole
Sent using Jamii Forums mobile app