Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
- Thread starter
- #61
Mwambie kijana huyo aache majivunoMziki gani labda?
Acheni kujipa moyo nyie hkl
Kukariri kesi na vifungu vya sheria ndio unaita mziki? Mlikua mnatisha tisha watu wakati nchi haijapata wasomi, saivi watu wamesoma sana hata hiyo sheria yenyewe tumegundua haina lolote maana wakimaliza nao wanarudi kitaa kuhangaika ajira kama fani zingine hawana kipya chochote cha maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app