Kama FILAMU zinazaa mara 3000, sasa kwanini wananchi tuhangaike wakati mama yupo jameni? Chakufanya sasa kwa mwaka ukifyatua FILAMU kama 20 za mtaji wa Bilioni 10 ina maana tutapata kama Trilioni 30 ambayo ni Bajeti yetu kwa mwaka mzima.. Eti hapo si ni poa?