Kama FILAMU zinazaa mara 3000, sasa kwanini wananchi tuhangaike wakati mama yupo jameni? Chakufanya sasa kwa mwaka ukifyatua FILAMU kama 20 za mtaji wa Bilioni 10 ina maana tutapata kama Trilioni 30 ambayo ni Bajeti yetu kwa mwaka mzima.. Eti hapo si ni poa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.