Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah [emoji23] .. Wale wa mbutika wa FB hapa wanasubiri...!!!![emoji1544][emoji1550][emoji1787]
Huyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Halafu Mwanaume kuweka emoji kwenye uandishi hua inatia mashaka sana.Ngoja waje wakosoe emoj nying sana
Kwa jinsi Zamaradi anavyomsifiaga unaweza sema hili lijamaa litakuwa next level in everything..Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,
Sometimes mtu unaweza kudharaulika kwa uandishi wako tu,
Uandishi hutoa picha halisi ya kujua jinsi mtu huyo alivyo.
Kwa hiyo anatembea na biti la "Mjini msingi kiuno?"[emoji3][emoji3]Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Kuna sehemu unatumia emoj sema ni mitazamoHalafu Mwanaume kuweka emoji kwenye uandishi hua inatia mashaka sana.