Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

sammisago-20230911-0001.jpg
 
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599
Huyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
 
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,
Sometimes mtu unaweza kudharaulika kwa uandishi wako tu,
Uandishi hutoa picha halisi ya kujua jinsi mtu huyo alivyo.
Kwa jinsi Zamaradi anavyomsifiaga unaweza sema hili lijamaa litakuwa next level in everything..

She is overrating him too much...


Huu uandishi hata mwanangu wa darasa la nne amemshinda..

Huyu hata la sabab alifeli[emoji736]
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
 
Daima katika maisha ni bora kujifunza kukaa kimya ili angalau uweke shaka juu ya uelewa wako kuliko kuongea na kuondoa shaka yeyote juu upumbavu wako.

Kuna aina fulani ya picha Zamaradi alimtengenezea jamaa yake kiasi kwamba watu waliamini jamaa ni sophisticated na classy. Baada ya huo upuuzi alioandika picha halisi ya yeye ni mtu wa aina gani imedhihirika.

Kuiweka kiwepesi, jamaa ni bumunda lililopambwa lionekane keki na mkewe.

Kuna tofauti ndogo mno baina ya Mume wa Zamaradi na Uchebe aliyekuwa mume wa Shilole. Mume wa Zamaradi ni vile amewekewa mipaka na mkewe katika maisha yao ya maigizo, lakini isingekuwa hivyo angekuwa kama Uchebe kutwa mitandaoni kuandika upuuzi na uswahili mwingi.

Na hili la mumewe limedhihirisha pia kuwa Zamaradi ni mtu wa aina gani. Daima walio wamoja hukaa pamoja.

1694412244332.png
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Kwa hiyo anatembea na biti la "Mjini msingi kiuno?"[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom