Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma PHD huwa wanapata shida sana kusoma ndio maana wanalalamikaKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Ase kwahiyo huwa mnakagua hati yangu sio 😂hata memba mwachiluw alikua nashida hii badala ya kuandika ,ila, anaandika ,hila,
Sasa hivi umeiva sana mwanangu🤣sijui nani alikupa darasaAse kwahiyo huwa mnakagua hati yangu sio 😂
Wapumbavu hao wasomi.Ma PHD huwa wanapata shida sana kusoma ndio maana wanalalamika
Kabla sijatuma hapa nauliza jirani wa karibu asome kwaza mkuu 😂Sasa hivi umeiva sana mwanangu🤣sijui nani alikupa darasa
Sio la saba, ni rasaba 😂la saba
Unampa aisome "kwaza" ausio ?Kabla sijatuma hapa nauliza jirani wa karibu asome kwaza mkuu 😂
Poa.wee mmatengo niniKabla sijatuma hapa nauliza jirani wa karibu asome kwaza mkuu 😂
Uzuri anajiamin kusoma sio dili hata kuna watu hawahasoma na wanakunja mamilionWapumbavu hao wasomi.
Wanamuonea wivu jamaa anapesa mingi.
DahUnampa aisome "kwaza" ausio ?
hiyo mkuu yenyewe alikuwa anaandika ,mkuhu,Unampa aisome "kwaza" ausio ?
Dah [emoji23] .. Wale wa mbutika wa FB hapa wanasubiri...!!!![emoji1544][emoji1550][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujakosea mkuuPoa.wee mmatengo nini
Utani wa ngumi uhuuu 😂hiyo mkuu yenyewe alikuwa anaandika ,mkuhu,