Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Wanawake ni WAJINGA WAJINGA SANA!

Hapo mwenyewe ndo haoni na hasikii, sio huyo tu! Wapo tele wenyewe wanadai wame-fall in love 😂

Mwanaume kuwa bumunda ni aibu kwa taifa kwakweli...

"WANAWAKE MKIWA MNATONGOZWA HEBU MUWE MNAWAPIMA HATA HAO WANAUME ZENU UWEZO WA KIAKILI, UANDISHI TU UNATOSHA KUM-DESCRIBE MTU"
 
[emoji23][emoji23][emoji23] na Kun watu wanamzidi uelewa sana huyo jamaa na hawana maisha kabisa...
Kaka kwani haujasikia anaishi nyumba ya mke wake?

Na haujasikia hiyo nyumba ndiyo Zamaradi amechukulia mkopo kwa ajili ya kuendeshea Zamaradi TV?

Meanwhile Zamaradi alikuwa anajisifu kwamba hiyo TV amefunguliwa na mume wake...

Point hapa ni nini? Ni kwamba hawa the so called motivational speakers wana fake sana life.. Huenda wewe na mkeo mko vizuri sana kuwashinda wao, ila kwa sababu ya kufake maisha mnajihisi hamjafanya kitu maishani mwenu kumbe siyo kweli...
 
Wanamdharau jamaa ilihali akaunt zao hao wasomi hazisomi hata 1m.

Mimi siwezi zarau mtu asiye jua kuandika na kusoma kwasababu anaye nipa madili za mamilion ni jamaa yangu mkongomani nayeye hajui kusoma wala kuandika
Hakuna aliyemdharau.... Na hakuna mahali suala la pesa limezungumziwa kwenye content ya uzi..

Point kubwa hapa na picha aloijenga Zamaradi kwenye jamii kuhusu mumewe, ukiangalia na uandishi wake ni vitu 2 tofautii...
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Na ndumba pia
 
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599
hayo ni maisha yake, ila kinahconikera mimi ni pale anapotumia kivuli cha pm majaliwa kufanya kiburi na manyanyaso. unakumbuka kipindi kile kamtishia mtu bastole, kwanza hajakutana na wanaume wamtwange huyo kiburi chote kingeisha.
 
Back
Top Bottom