Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeona tu pale alipokuwa ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIOLISIHuu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Haiwezekani...!!Typing errors tu hizi🤭😁
Jamaa ni kilaza halafu eti ni usalama. Ndugu wa MajaliwaHuu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Atakua ameishia darasa la ngapi..??Huo uandishi🙆🙆🙆
Sasa Zamaradi naye asilisi!"Angemshaurisha mkewe kabla ya kuandika bilashaka, Zamaradi asinge mjubalia mume wake aiweke hiyo aibu dunia ione..🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa jinsi Zamaradi anavyomsifiaga unaweza sema hili lijamaa litakuwa next level in everything..
She is overrating him too much...
Huu uandishi hata mwanangu wa darasa la nne amemshinda..
Huyu hata la sabab alifeli[emoji736]
Au wale wanaoandika xaxa...Sasa!Hakuna kitu inakata stim kama kuchati na mtu asiyejua kuandika vizuri
DuhHuyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
Hahaha kweli maisha hayana formula kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] na Kun watu wanamzidi uelewa sana huyo jamaa na hawana maisha kabisa...
Wewe tena [emoji1]Umbea suna.Yes ninajua vitu vingi.Unajua sina mme,so kutafuta habari ndo huwa ninafanya at my spare time.Ule muda wa kugusishana vikojoleo,mie ninasaka habari.
Alafu wewe uwe unajua ....yaani ni keroHakuna kitu inakata stim kama kuchati na mtu asiyejua kuandika vizuri