Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599
Ukisikia mwanamke anasema "mimi kwake sijafuata mali wala muonekano, mimi nampenda vilevile alivyo". basi huyo mwanamke ndiyo huyu sasa.
Mwambieni jamaa ajishikilie vizuri kwa huyo dem. Huyo dem anampenda huyo jamaa kiukweli hasa, so jamaa asije akajisahau akaharibu.
Dem anampenda jamaa yake kiasi kwamba wala hata hahitaji kumfanyia editing, wala nini
 
Ukisikia mwanamke anasema "mimi kwake sijafuata mali wala muonekano, mimi nampenda vilevile alivyo".
Mwambieni jamaa ajishikilie vizuri kwa huyo dem. Huyo dem anampenda huyo jamaa kiukweli hasa, so jamaa asije akajisahau akaharibu.
Dem anampenda jamaa yake kiasi kwamba wala hata hahitaji kumfanyia editing, wala nini
Oyaaa msi nirushie Stimu, kwani SI tuna ishi kwa simu au mdomo😁
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Kwa hiyo unataka kusema anaishi kwa hisani ya kiuno na kifanyio 🤔?
 
Kuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Hii ni kweli, yupo mkaka namfahamu anazo semi trailer zake kadhaa ana biashara na mshiko mzuri tu ila ndo hivyo hajui kuandika vizuri, kuna siku hesabu ndogo tu ya darasa la nne ilimshinda ikabidi nimsaidie
 
Uandishi ni kipaji sizan km kuna haja ya kumshangaa
Suala la uandishi ni watu wachache wanaliweza nakili mm ni mmoja wapo uandishi unanitesa kuandika kitu na mtu akaelewa km vle ulivyowaza ni kaz sana
Lkn pia uandishi sio elimu watu wamesoma mpaka mwisho wa elimu lkn uandishi unawatesa
 
Back
Top Bottom