Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Wanamdharau jamaa ilihali akaunt zao hao wasomi hazisomi hata 1m.

Mimi siwezi zarau mtu asiye jua kuandika na kusoma kwasababu anaye nipa madili za mamilion ni jamaa yangu mkongomani nayeye hajui kusoma wala kuandika
Mwanaumee asiejua kusoma na kuandika halafu Wana pesa wengi wako inferior asikuambie mtu Tena Kwa wake zao hua hawajaimini kabisaa at least awe form four leaver au six leaver la sivyo tunapata shida Sana sisi wanawake brother na aina hizo za wanaume
Ndo maana Zama anatumia nguvu kubwa kumuweka sawa mmewe ajione nae ana hyo hadhi Mimi namuelewa sana Zamaradi
 
Hawa motivational wives kuna trauma wanazijenga kwa wanawake ambao kwa namna moja ama ingine wanaume wao hawawapi support ama wanawapa support duni..

Au kwa kuona alichofanyiwa Zamaradi, basi wanajiona wao kama walikosea kuolewa hapo walipo..

Kumbe huenda wao wako vizuri kumshinda huyo motivational speaker..
Exactly [emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
 
Kamuaibisha wife material na role model wa wanawake wengi.... si angempa hata Shuby amuandikie jaman
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hivi ujue nawaza hakujua madhara ya alichokua anafanya?!!
Mimi bwana Kwa kweli nilivoona Ile meseji nilijiskia vibayaaa mnoo
Nikakumbuka Ruge alimuita "mission town"kumbe alikua anamjua na sijui walikutana wapi mpk kufikia kuoana aseehh
 
Na ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watu
Jamaa ana shida mahala,mara nyingi wasiosoma au waliopitia maisha magumu wakaja kua at least na maisha kidogo wanakuaga watata sana ujue, kibri kingi.
Kapita maisha magumu mno
Alilala njaa,hakusoma,alitelekezwa
Kaokotwa akawa mchunga mbuzi
Lazima awe kisirani muda wote
 
Back
Top Bottom