bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Uchawa unalipa mjini we endelea kukariri miandiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajiaminigi Hawa watu always wachache sana wamestaaribika wengi Wao wanakua na visirani na viburiKapita maisha magumu mno
Alilala njaa,hakusoma,alitelekezwa
Kaokotwa akawa mchunga mbuzi
Lazima awe kisirani muda wote
🤣🤣🤣SijalionaKwanza umeona gazeti la Leo la kumtetea mumewe kuanzia kuuza mitumba mpk sijui wpai wapi hukoo ...yote Ile kumaanisha jamaa ni Hustler kimtindo hvyo anatakiwa apewe sifa
Wala sijasema Sheby Yuko vibayaaa,ila homeboy kuandika hajui ...Nyie mna hasira na Zama [emoji1787]
Shebby mbona yupo vizuri wajameni
Shida zamaradi(zamaladi kama alivyoitwa na mumewe) anataka kuwa perfect..mie nilishamhisi muda kuna kitu hakiko sawa toka amuweke mumewe kwenye banner..something is wrong somewhereKwa jinsi Zamaradi anavyomsifiaga unaweza sema hili lijamaa litakuwa next level in everything..
She is overrating him too much...
Huu uandishi hata mwanangu wa darasa la nne amemshinda..
Huyu hata la sabab alifeli[emoji736]
Nenda Bado lipo ,yaani Bora angekaa kimyaa ila Kwa alipofikia Zama anajiabisha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijaliona
Anatetea ujinga
Ye mwenyewe tiamaji
Mzee wa fursa
Alijitongozesha kwa ruge apate maisha
Kakulia uswekeni ambapo chai ya asubuh na vitafunwa ni anasa[emoji1787]
Hii nchi is totally doomed. Yaani Mwanausalama anatishatisha watu kisa ana undugu na raia Majaliwa?Na ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watu
Jamaa ana shida mahala,mara nyingi wasiosoma au waliopitia maisha magumu wakaja kua at least na maisha kidogo wanakuaga watata sana ujue, kibri kingi.
anataka kuaminisha watu anapendwaaaShida zamaradi(zamaladi kama alivyoitwa na mumewe) anataka kuwa perfect..mie nilishamhisi muda kuna kitu hakiko sawa toka amuweke mumewe kwenye banner..something is wrong somewhere
kumbe ni TISS??? sasa ufundi gereji tena vipiiiHii mchi is totally doomed. Yaani Mwanausalama anatishatisha watu kisa ana undugu na raia Majaliwa?
Namuonea huruma tuShida zamaradi(zamaladi kama alivyoitwa na mumewe) anataka kuwa perfect..mie nilishamhisi muda kuna kitu hakiko sawa toka amuweke mumewe kwenye banner..something is wrong somewhere
Hivi bado wanawake wanafata hayo kisa mzuri bed?..kheHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Shida zamaradi(zamaladi kama alivyoitwa na mumewe) anataka kuwa perfect..mie nilishamhisi muda kuna kitu hakiko sawa toka amuweke mumewe kwenye banner..something is wrong somewhere
Sio usalama bwana yule ,Sema Kwa kua alikua anafanya Kazi Kwa majaliwa kupewa silaha ni kitu Cha kawaidaHii mchi is totally doomed. Yaani Mwanausalama anatishatisha watu kisa ana undugu na raia Majaliwa?
Hata mimi angenikinai mapema jamaniwatu wa mahalage lobo wananikera sana nilijua jamaa zimo kichwan kumbe ni mjinga mmoja kuandika pia hajui anachatije na mkewe mimi ningemchoka haraka sana
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ripa badala ya lipaMtu ulikua unamuheahimu tu vizuri mara ghafla unaona ameandika ulisi
Wala sijasema Sheby Yuko vibayaaa,ila homeboy kuandika hajui ...
Zama Sina shida NAE namuombea TU alipwe deni la watu[emoji1]
zamaladi 😅 😅 😅 😅 maamee hii nchi connection ndo kila kituu jamaa hata kuandika ni shidaaSio usalama bwana yule ,Sema Kwa kua alikua anafanya Kazi Kwa majaliwa kupewa silaha ni kitu Cha kawaida
Usalama Gani hajui kuandika "urithi"?!!
Hii nchi ya hovyo sana basi itakua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sipondi..unaona ni sawa mwanaume kuwekwa barabarani namna hiyo..? Hakuna mwanaumr atakubali mbwembwe hizo bwana we..neverNimecheka kifaller watu mnajua kuponda[emoji23]