Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daima katika maisha ni bora kujifunza kukaa kimya ili angalau uweke shaka juu ya uelewa wako kuliko kuongea na kuondoa shaka yeyote juu upumbavu wako.
Kuna aina fulani ya picha Zamaradi alimjengea jamaa yake kiasi kwamba watu waliamini jamaa ni sophisticated na classy. Baada ya huo upuuzi alioandika picha halisi ya yeye ni mtu wa aina gani imetokea.
Kuiweka kiwepesi, jamaa ni bumunda aliepambwa aonekane keki na mkewe.
Kuna tofauti ndogo mno baina ya Mume wa Zamaradi na Uchebe wa Shilole. Mume wa Zamaradi ni vile amewekewa mipaka na mkewe katika maisha ya maigizo, lakini isingekuwa hivyo angekuwa kama Uchebe kutwa mitandaoni kuandika upuuzi.
Na hili la mumewe limedhihirisha pia kuwa Zamaradi ni mtu wa aina gani. Daima walio wamoja hukaa pamoja.
View attachment 2745605
Kabisa yaani.Kwa hiyo anatembea na biti la "Mjini msingi kiuno?"[emoji3][emoji3]
Nyie ndiho munafuga ujinga. Mnawalisisha nini kizadhi kijacho?Muhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
Kweli kabisa,kuchukua mkopo si tatizo.Hata kina Mengi walikopa.Tatizo ni Zamaradi kakopa Bank ,the anakuja mtandaoni kudanganya watu kuwa TV pale ni nguvu za mme wake huyu Shabani. Anauza nyumba, ananunua range,anakuja kudanganya public kuwa Range kanunuliwa na Shaban.Yaani watu wengine ikute wanajiona hawafai kwa kuamini vitu ambavyo kiuhalisia ni uongo.Kaka kwani haujasikia anaishi nyumba ya mke wake?
Na haujasikia hiyo nyumba ndiyo Zamaradi amechukulia mkopo kwa ajili ya kuendeshea Zamaradi TV?
Meanwhile Zamaradi alikuwa anajisifu kwamba hiyo TV amefunguliwa na mume wake...
Point hapa ni nini? Ni kwamba hawa the so called motivational speakers wana fake sana life.. Huenda wewe na mkeo mko vizuri sana kuwashinda wao, ila kwa sababu ya kufake maisha mnajihisi hamjafanya kitu maishani mwenu kumbe siyo kweli...
Hawa motivational wives kuna trauma wanazijenga kwa wanawake ambao kwa namna moja ama ingine wanaume wao hawawapi support ama wanawapa support duni..Kweli kabisa,kuchukua mkopo si tatizo.Hata kina Mengi walikopa.Tatizo ni Zamaradi kakopa Bank ,the anakuja mtandaoni kudanganya watu kuwa TV pale ni nguvu za mme wake huyu Shabani. Anauza nyumba, ananunua range,anakuja kudanganya public kuwa Range kanunuliwa na Shaban.Yaani watu wengine ikute wanajiona hawafai kwa kuamini vitu ambavyo kiuhalisia ni uongo.
Umbea suna.Yes ninajua vitu vingi.Unajua sina mme,so kutafuta habari ndo huwa ninafanya at my spare time.Ule muda wa kugusishana vikojoleo,mie ninasaka habari.Acha umbea utakonda utaosha haiwezekani kila habari ukawa unaijua!
Kwanza jamaa kuchukuwa single mother mwenye watoto ni shughuli! Walidai ni ndugu ya Mh Majaliwa! Ina maana shule haikupanda kabisa kabisa?!Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Tatizo sio kuwa na pesa,tatizo ni kutumia title ni ndugu wa mnene hadi kunyanyasa watu while alikua mchunga ng'ombe tuKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Umesahau a na hHajui tofautisha R na L , Si na thi
Hiyo inaitwa social diversion ili muhame kwenye mada kuu.. manyumbu mlivyo wajinga mmeingia wote mtegoni na sasa mnajadili kuhusu mwandiko wa mume wa zamaradi, yaani na wewe mtoa mada ni nyumbu tayari.Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Wakasome..!!Dah [emoji23] .. Wale wa mbutika wa FB hapa wanasubiri...!!!![emoji1544][emoji1550][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Typing errors tu hizi🤭😁Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599