Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We Mrs Thabo Bester NAKUSII angalia, UTAZALILIKA na nyumba YAULISNyieeee๐๐
๐๐๐ Falao kweli wewe[emoji2296] kwasababu gani mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kusoma kilichoandikwa na siye [emoji23][emoji23][emoji23]wapenda imoji [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji2960][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
sasa wew mwanaume anakutxt beib vip umekuraaa??? si utakuwa wako peke akoo ๐ ๐ ๐Wanaume wenye mwandiko huo hawapo romantic kabisa
Hiyo Bastola anatembea nayo kila mahali...Na ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watu
Jamaa ana shida mahala,mara nyingi wasiosoma au waliopitia maisha magumu wakaja kua at least na maisha kidogo wanakuaga watata sana ujue, kibri kingi.
kwa kweli tumuerewe tu mahana shure sio hishuu sanaa...pesa ndio kira kituMuhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
WA HIVYO HUWA WANAONA TABU WALIZOZIPITIA ZIMESABABISHWA NA KILA MTU DUNIANINa ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watu
Jamaa ana shida mahala,mara nyingi wasiosoma au waliopitia maisha magumu wakaja kua at least na maisha kidogo wanakuaga watata sana ujue, kibri kingi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shostiii....Hajui kuandika bwana amtoe nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walipe Hela za watu
sasa nani atamvamiaaa ๐ ๐ ๐Hiyo Bastola anatembea nayo kila mahali...
Kuna siku nilimuona kwenye garage yake....Bastola ipo kiunoni..
Ile yote ni kuonesha jamii Bwana Shabani ni mambo safi..Kwanza umeona gazeti la Leo la kumtetea mumewe kuanzia kuuza mitumba mpk sijui wpai wapi hukoo ...yote Ile kumaanisha jamaa ni Hustler kimtindo hvyo anatakiwa apewe sifa
Pesa itoke wapi zamaradi na shilole hawachekani ni walezi wa wannakwa kweli tumuerewe tu mahana shure sio hishuu sanaa...pesa ndio kira kitu
We Demi wewee..!!! Haya bwana..!!Wanaume wenye mwandiko huo hawapo romantic kabisa
Na magari ya kisasa wanatengeneza kutumia computer...hahaa...kama naona errors kibao..syntax 0Na ni fundi gereji halafu anashindwa kutengeneza sentensi kwa usahihi..magari ataweza?๐
Nahona umelisi ka uyo jamahaaaMuhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
zama hamkutii shilolee weee ule mziki mwingineee...shilole ni really super womanPesa itoke wapi zamaradi na shilole hawachekani ni walezi wa wanna
Lomantiki๐ ๐ ๐Awapo lomantiki tenaa?
alafu we mzee wa kura kimasiala hunasemaje..!! Mimi kumuherewa mutu mwenye muhandiko wa vire siwezkwa kweli tumuerewe tu mahana shure sio hishuu sanaa...pesa ndio kira kitu
๐๐๐ Nyie watu mnaweza sababisha jamaa akaweka kamba shingoni ๐๐Alafu jamaa ukimchek kwenye picha hapo unaona kabisa UMEME MDOGO huo.