reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hajasoma ule ni muandiko WA mtu asiyeenda shule kabisaa au la Saba failure!!na hakika ht mwanangu wa la 5 haandiki vile,nimejua why Zama anatumia nguvu kubwa kuonesha mmewe ana pesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shostiii....
Bwana anaandika Ulisi... kweli jamani?
Hapana....kuna mambo ya kuvumilia ilankuandika gani kule..