Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Yupo vizuri sana.Amesomea nchi za ng'ambo huyo mtu.Marvelous!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahona humehamuha kumusema kihahinaMuhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
Ungemchokaje wakati anakukuna kuliko wanaume wote uliopita nao.. Je? Hao wanaojua kuandika, uliwaacha kwanini?watu wa mahalage lobo wananikera sana nilijua jamaa zimo kichwan kumbe ni mjinga mmoja kuandika pia hajui anachatije na mkewe mimi ningemchoka haraka sana
Mkuu Mshana Jr nikuambie. Watu kama hawa wako wengi kweli kweli ndani ya uongozi wa nchi wa sasa. Trust me. Huko kwenye level za wilaya, mikoa hata wizarani wapo wengi sana. Halafu tunalalamika nchi kwa nini haiendelei.Dah [emoji23] .. Wale wa mbutika wa FB hapa wanasubiri...!!!![emoji1544][emoji1550][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hinawezekana, mahana auwezi kujuha..!!Na wewe ni mmoja wapo kwani?😅😅
Mange Tena [emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji1]nyau ana balaa yule tutajua yote mbonaNa Mange akishikilia bango jambo la mtu hachoki yule kigagula [emoji28]
😅 😅 😅 😅 hutaki kura maisha wew...alafu we mzee wa kura kimasiala hunasemaje..!! Mimi kumuherewa mutu mwenye muhandiko wa vire siwez
Njaa mbaya umbea wa celebrities unalipwa kuanzia 1m mpk 5m,Sasa hapo Si Hela ya msingi hiyoo...kama ndugu hawako loyal wanakuuza tu mbona!!!Afu Mange ana wambea wa kutosha kumpenyezea za ndani..!! Utawasikia, HIDE MY ID
Uharo wa maharage na mtindi[emoji38][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Zama kayakanyaga
Shilole naye mlezi wa wana alianza na mziwanda, akaja kwa u here sasa yupo na mpiga chaaa sema ndizi ukisema kamwaga chaazama hamkutii shilolee weee ule mziki mwingineee...shilole ni really super woman
Humu huwa nasisitiza watu kuficha ujinga wao. Ona jamaa anavyojilipua
Atakuwa amejisababishia mwenyewe na mwandiko wake..!!😄😄😄 Nyie watu mnaweza sababisha jamaa akaweka kamba shingoni 😄😄
Ana sifa sana Kuna siku ataua mtu huyu kaka jamani!!!yaani huyu ni mmwera orijino kabisaaa!!!yaani ndo asili yetu wamwera sifa kama wahayaHiyo Bastola anatembea nayo kila mahali...
Kuna siku nilimuona kwenye garage yake....Bastola ipo kiunoni..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] riki dahkwa kweli tumuerewe tu mahana shure sio hishuu sanaa...pesa ndio kira kitu
Kabisaa yaani ndo maana anamtolea Kila mtu hasira zakeWA HIVYO HUWA WANAONA TABU WALIZOZIPITIA ZIMESABABISHWA NA KILA MTU DUNIANI
uzuri mmoja sjawahi kudate na mtu anayebadilisha herufi, kwenye l aweke r na l yan kabla hatujafika mbali sikuwezi, kwa hiyo tusipangianeUngemchokaje wakati anakukuna kuliko wanaume wote uliopita nao.. Je? Hao wanaojua kuandika, uliwaacha kwanini?