Anakula hulisi wa Ruge kutoka MawinguHuu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Vote tunadaka peza na muhadiko, ikiwezekada na hulisi πLakini kwani mnataka pesa au mwandiko mzuri? [emoji23][emoji23]
Kwa hiyo sio mpwa wa PM katelephone?Kumbe Yule mwana, ndo mume wa zamaradi sikujua mwana alikuwa shamba boy kwa majaliwa nidhamu sana nyenyekea kwa wingi jutuma sana kulisha mifugo na kulima majiliwa akaona ngoja amuendeleze sema cheti utata akapelekwa ufundi magari
Nimeerewa vizuli hapo, hera na muhandiko[emoji23]Vote tunadaka peza na muhadiko, ikiwezekada na hulisi [emoji23]
Halafu Mwanaume kuweka emoji kwenye uandishi hua inatia mashaka sana.
Na hulisiNimeerewa vizuli hapo, hera na muhandiko[emoji23]
Sawa kaka ake Shaban Madobe πNimeerewa vizuli hapo, hera na muhandiko[emoji23]
Hakuna watu zamani nilikua namind Kama wale kwenye s anaweka x. Utaona kaandika "xaxa" badala ya "sasa"Sawa kaka ake Shaban Madobe [emoji23]
Anatoa hata wale wasanii kuhojiwa wanalipa mpk 3m,Sasa exclusive kama ya Zamaradi ujue pesa si chini ya 3m hapo mtu kapata..ni rahisi mtu kukusaliti Mimi tu naogopa Mungu Kwa kweli ila ningeuza mtu Siku Moja [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]Kumbe anatoa hadi 5mil kweli mange ni kiwanda [emoji1]
Hahahahahaa ....jamani!!!misheni town wa watu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]ujue aliyesoma ana namna ya maongezi ht kama nonsenseMimi tangu ile siku arobaini ya Salah.. kipindi Zama amegombana na Misa sababu ya nguo...
Kwenye kutoa Speech ya Bwana Shabani nilisema tuna safari ndefu sana kwa yule Bwana...
Alikuwa anaongea hata Steve simple Boy ana afadhali..
Mkubwa fella,Harmonize ,Wolper na Marioo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hawajui kuandikaHili ni tatizo kubwa sana kwa watu maarufu wengi. Hadi sasa hivi bado Mkubwa Fella hana mpinzani kwa uandishi wa hovyo. Nadhani Fella nae ni mtu wa kusini. Mume wa Zamaradi akiongeza juhudi anaweza kuvunja rekodi ya Mkubwa Fella. Harmonize nae hayuko nyuma kwenye hili jambo. Kutoka Kaskazini kuna DC msomi Nikki wa Pili ana tatizo kwenye kuandika.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]Ttufanyeje sasa na wametuambia tuwaige wenye fweza..!!
Hahaaa...tulimchachamalia haswaaa...maisha yake amejiwekra heshima mnooo!!hana kashfa miaka ya hv karibuni na hata Zamani,sio mropokaji wala msema hovyo ,nidhamu na heshima pamoja na mkewe vinampa sana creditIla nilikuja kugundua Jay anapendwa na kila mtu.. hadi Mange akanyoosha mikono pamoja na ushetani wake. Profesa anapendwa na watu wa dini na vyama vyote.
Xawa my wangu πππHakuna watu zamani nilikua namind Kama wale kwenye s anaweka x. Utaona kaandika "xaxa" badala ya "sasa"
Anataka kuonesha Yuko sahihi na hakubali kushindwaZamaradi angetulia tu kuliko huu ujinga anaofanya,,,hivi hawajifunzagi Kwa Hamisa?
Mpk Leo mtu akiandika hvyo napata kichefuchefu sipendi mnooHakuna watu zamani nilikua namind Kama wale kwenye s anaweka x. Utaona kaandika "xaxa" badala ya "sasa"