Ile Familia ya kina Ruge siku wakiamua kumchamba kisomi sijui ataficha wapi sura yake...Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Kabisa kwa mwandiko huu bora nikope bustisha nikupigie tumalizaneYani hata mood ya kumkiss inakatika uongo🤣🤣 ila sema kuna kikweli aisee ni bora mkiwa washamba muwe washamba wote penzi linanoga mkiandika "nipo balabalani" na anaejibu asijue kama kuna makosa ya uandishi hapo mnaenda sawa , ila uikute huyu anachanganya na kiingereza yule anaandika "nimeamka saram" hata mood ya kuwa nae inakata
Tuyaache maisha ya watu ndoa makubaliano, hakuna sharti la elimu au kujua kusoma na kuandika😅Kabisa kwa mwandiko huu bora nikope bustisha nikupigie tumalizane
Ila tusiongee sana kwani bi dada ana elimu gani
Ndio wewe kihiyomimi ndie mume wa zamaradi vipi
Elimu, Elimu, Elimu.Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
Hili ni tatizo kubwa sana kwa watu maarufu wengi. Hadi sasa hivi bado Mkubwa Fella hana mpinzani kwa uandishi wa hovyo. Nadhani Fella nae ni mtu wa kusini. Mume wa Zamaradi akiongeza juhudi anaweza kuvunja rekodi ya Mkubwa Fella. Harmonize nae hayuko nyuma kwenye hili jambo. Kutoka Kaskazini kuna DC msomi Nikki wa Pili ana tatizo kwenye kuandika.
[emoji23][emoji23]Huyu ndo maana halisi ya "msingi kiuno"
Asante kwa kunifungulia code mkuu [emoji28]Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Ukichambwa huku hujui kilichoandikwa wala hainaga kwere..!! Yaani unawashangaa wanaokushangaaIle Familia ya kina Ruge siku wakiamua kumchamba kisomi sijui ataficha wapi sura yake...
Uwiii nimechekaa🤣🤣😆🙌Na hapo ni kuandika kwenye simu ni kugusa herufi tu keyboard kumemshinda.
Akipewa karatasi na kalamu aandike huyu ataishia kuchora njia ya luangwa na kurudi
Watu waliokuwa hawazingatii shule wanaumbuka sana. Utetezi wao ni kuwa ukiwa na hela inatosha.Yani ni tatizo sana sasa hivi. Na mitandao hii ndio inawaumbua kabisaa. Watu hawajui kuandika, bado kwenye kuongea wanaongea ‘selasini, semanini, taLehe, staLehe, Apo (hapo), natasmini..’ Bado hawajui kuanza na herufi kubwa kwenye majina ya watu, miji, etc.. Hawajui kuweka nukta wala koma. Mtu anaandika weee, hakuna nukta wala koma.
Yani imekuwa ni vurugu tupu. Na wengine wamefika hadi chuo ila uandishi ni kasheshe. Sijui shida ipo huko mashuleni? Duh..
Yani hata mood ya kumkiss inakatika uongo🤣🤣 ila sema kuna kaukweli aisee ni bora mkiwa washamba muwe washamba wote penzi linanoga mkiandika "nipo balabalani" na anaejibu asijue kama kuna makosa ya uandishi hapo mnaenda sawa , ila uikute huyu anachanganya na kiingereza yule anaandika "nimeamka sarama" hata mood ya kuwa nae inakata
HilobJamaa fala sanaHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
HilobJamaa fala sanaHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Nakazia,Cha muhimu ujumbe unasomekaKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Umeongea kweli kabisa[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] na Kun watu wanamzidi uelewa sana huyo jamaa na hawana maisha kabisa...