Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Ile Familia ya kina Ruge siku wakiamua kumchamba kisomi sijui ataficha wapi sura yake...
 
Yani hata mood ya kumkiss inakatika uongo🤣🤣 ila sema kuna kikweli aisee ni bora mkiwa washamba muwe washamba wote penzi linanoga mkiandika "nipo balabalani" na anaejibu asijue kama kuna makosa ya uandishi hapo mnaenda sawa , ila uikute huyu anachanganya na kiingereza yule anaandika "nimeamka saram" hata mood ya kuwa nae inakata
Kabisa kwa mwandiko huu bora nikope bustisha nikupigie tumalizane
Ila tusiongee sana kwani bi dada ana elimu gani
 
Angekuwa ni ndugu wa karibu sana na Mheshimiwa angekuwa vizuri, huyu kweli hawana undugu wowote. Tofauti yake na kina Saad Majaliwa ni kubwa sana.

Halafu yeye ndiye anayemuaibisha kweli Mheshimiwa, kuliko watoto wake halisi. Mara kutolea watu bastola, mara kupeleka watu polisi, mara kuwatisha watu maisha! Hapa Zamaradi alijua kuchemsha. Nahisi alikuwa anadhani anamkomoa Ruge wakati ule wa Nandy, kumbe anaingia kwenye ujinga mtupu.
 
Hili ni tatizo kubwa sana kwa watu maarufu wengi. Hadi sasa hivi bado Mkubwa Fella hana mpinzani kwa uandishi wa hovyo. Nadhani Fella nae ni mtu wa kusini. Mume wa Zamaradi akiongeza juhudi anaweza kuvunja rekodi ya Mkubwa Fella. Harmonize nae hayuko nyuma kwenye hili jambo. Kutoka Kaskazini kuna DC msomi Nikki wa Pili ana tatizo kwenye kuandika.

Yani ni tatizo sana sasa hivi. Na mitandao hii ndio inawaumbua kabisaa. Watu hawajui kuandika, bado kwenye kuongea wanaongea ‘selasini, semanini, taLehe, staLehe, Apo (hapo), natasmini..’ Bado hawajui kuanza na herufi kubwa kwenye majina ya watu, miji, etc.. Hawajui kuweka nukta wala koma. Mtu anaandika weee, hakuna nukta wala koma.

Yani imekuwa ni vurugu tupu. Na wengine wamefika hadi chuo ila uandishi ni kasheshe. Sijui shida ipo huko mashuleni? Duh..
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Asante kwa kunifungulia code mkuu [emoji28]
 
Yani ni tatizo sana sasa hivi. Na mitandao hii ndio inawaumbua kabisaa. Watu hawajui kuandika, bado kwenye kuongea wanaongea ‘selasini, semanini, taLehe, staLehe, Apo (hapo), natasmini..’ Bado hawajui kuanza na herufi kubwa kwenye majina ya watu, miji, etc.. Hawajui kuweka nukta wala koma. Mtu anaandika weee, hakuna nukta wala koma.

Yani imekuwa ni vurugu tupu. Na wengine wamefika hadi chuo ila uandishi ni kasheshe. Sijui shida ipo huko mashuleni? Duh..
Watu waliokuwa hawazingatii shule wanaumbuka sana. Utetezi wao ni kuwa ukiwa na hela inatosha.
 
Yani hata mood ya kumkiss inakatika uongo🤣🤣 ila sema kuna kaukweli aisee ni bora mkiwa washamba muwe washamba wote penzi linanoga mkiandika "nipo balabalani" na anaejibu asijue kama kuna makosa ya uandishi hapo mnaenda sawa , ila uikute huyu anachanganya na kiingereza yule anaandika "nimeamka sarama" hata mood ya kuwa nae inakata

Kweli mkuu, mbaya sana unapokea sms ya kuchosha hivi, alafu unakuta dada mzuri

"lama.hani.nJoo balaBalani xaxA ivi.utaonagali reupe" 😳😳
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
HilobJamaa fala sana
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
HilobJamaa fala sana
 
Back
Top Bottom