Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Sio Hao tu Kuna yule mkubwa kabisa ni dj sijawahi kumuona akilalamika
Huyu makonde ndyo anajikuta mlezi wa Wana
 
Utajua tu huyu ni Mbulula kama wengine.....Hawa wanawake wanaojiita Super woman hawapendi kuolewa na Mtu mwenye akili😆😆😆
Hakuna mwanake anapenda kuwa single atakwambia tu barabarani usiku ukifika anajihisi mpweke japo si siku zote ila kale ka upweke kanakuja kabaya ila ndio vile anapiga moyo konde saa ingine analia akitoka nje ni super woman
 
Naomba nitofautiane na wewe kidogo, yaani kuandika neno "urithi" Kama inavyotakikana kunahitaji uwe na kipaji kweli? Kama umepita shule ya msingi vitu hivi tulijifunza kwenye imla bwana..
Labda Kama mtu aliacha shule akiwa la tatu
 

"Swala la uhandishi ni watu wachache wanariweza, nakiri mimi ni mmoja wapo uhandishi unanitesa"

Ungeandika hivi bila shaka ningekubaliana na wewe, Suala lipo wazi kabisa, kwa mazingira ya Dunia yetu hii ya Kitanzania, kwa muandiko ule wa mzee wa ULISI, jamaa ni empty headed, kuna mawili posible ndio sababu yupo na yule manzi

1.Msingi kiuno
2.Ndumba zipo around

Tofauti yake na Uchebe ni kuwa bwana Uchebe alikuwa sana mitandao na huyu Mzee wa ULISI hakuitaka mitandao.
 
Ujinga tu,aibu gani sasa.Yaani kudanganya Umma TV pesa katoa mmewe wakati ni amekopa Bank.Kwani angekaa tu kimya na si kudanganya. Maana kusema ukweli hakuna ulazima wowote wa kuandika instagram pesa ya TV alitoa wapi.
Huyo hata akisema anaenda chooni kamchungulie,au uliza Choo alifika huku huyu?
Hata akijamba mulize ushuzi wako huu au tarumbeta.
Kaongo kaongo sana,mwili upawa uongo km world trade center
 
Ila Prof Jay anapendwa hadi Raha. Hana makuu Kaka wa watu.
 
Yeah
Hamna anayemwonea wivu
Ok ye tajiri
Ila shule muhimu
Hata billigate tajiri wa dunia kasoma havard pale[emoji108]
Ye mwenyewe Zama anajishuku ndo maana sifa nyingi mwisho anaharibu...!!!
Angekaa kimya tusingejua km mmewe hajui kuandika,wangesubiria TU 'ulisi' waripe deni la meggy[emoji1751][emoji1751]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…