Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.
Muongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!
 
Mimi bado ntamlaumu jamaa kwa kujiharibia status yake iliopambwa sana na mkewe na maisha haya kwani kurudi darasani bei gani mtu ukajua kuandika vizuri.
Mwamba alipambwa sana kumbe kiazi dah noma. Mitandao injua kuaibisha sana.
 
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599
Na ukute hicho ndiyo zama alichompendea Mshikaji,Wanawake rahaa sana na hawatabiriki!!
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Sasa maana ya ndoa au kuolewa ni ngono na ufundi kitandani

Bila ngono na utaalamu wa kitandani ujue hakuna ndoa hapo

Kama sio ngono basi ungekaa na wazazi wako
 
Huyo hata akisema anaenda chooni kamchungulie,au uliza Choo alifika huku huyu?
Hata akijamba mulize ushuzi wako huu au tarumbeta.
Kaongo kaongo sana,mwili upawa uongo km world trade center
[emoji3][emoji3][emoji3] Kwakweli Zamaradi katuacha wengi hoi.Kumbe yale maisha ana pretend kuwa nayo behind the scene kuna nguvu kubwa sana ya uongo
 
Aliacha chuo Zama hakumaliza
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.

Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
 
Muongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!
Katika kitu nilidharau sana ni huyo mzee wa ULISI kujipa ujiko wa kulipia watoto wa Ruge school fees.Jamaa mwenyewe ukimuona live alivyo mchafu mchafu hata huo uwezo wa kulipia tu hata shule hizi za kawaida za 3.5M hana ije iwe School fees ya FIS.
Umenena kweli hata huyo wa kwao ni Zama ndiyo atakuwa analipia ada na siyo mwanaume.
 
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.

Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]

Ada yao ikoje Fedha kwa primary?
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Kwakweli Zamaradi katuacha wengi hoi.Kumbe yale maisha ana pretend kuwa nayo behind the scene kuna nguvu kubwa sana ya uongo
Hako na Zari lao moja.waliposikia waume zao wamekufa wakaenda kulia sana msibani
Walisi mari km shabani mumewe alivyosema.
Kabla ya hapo kalikua majalala tu.
Leo eti brand yangu ,brand matako ya kuku
 
Muongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!
Hapo sasa ndiyo anapokamatwa uongo shabani madobe. Famiia ya marehemu Ruge siyo watu wa mitandao vinginevyo angepata aibu sana
 
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.

Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
Hahahaaa....hakumaliza aliishia semister ya pili Mwaka wa kwanza..ni form six leaver may be na hizi short courses...
Kawaida sana mi nawajaua watu wanasomesha Feza na wako kawaida sana sio matajiri ingawa Mimi sisomeshi Feza
Mlivompendekeza mlimuweza sana mama juhjuh mweee
Kajiharibia jina sana Kwa Sasa ndo maana anatumia nguvu kubwa kuaminisha umma kua Yuko vzr
 
Katika kitu nilidharau sana ni huyo mzee wa ULISI kujipa ujiko wa kulipia watoto wa Ruge school fees.Jamaa mwenyewe ukimuona live alivyo mchafu mchafu hata huo uwezo wa kulipia tu hata shule hizi za kawaida za 3.5M hana ije iwe School fees ya FIS.
Umenena kweli hata huyo wa kwao ni Zama ndiyo atakuwa analipia ada na siyo mwanaume.
Mbwembwe tu pale aliingia chaka
Ujue Kuna watu wanapenda sifa sana kias wakipata majanga watu wanashindwa kuwatetea hata kidogo..ifike mahala watu wakubali Hali zao
Kujifanya Wana pesa halafu wanadhulumu watu kitu ambacho sio kizuri kabisaa
 
Back
Top Bottom