Muongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy na mwingine last born ana mama yake nimemsahau jina watoto wote hao wanasoma Feza na sijawahi kuona mama zao wakilalamika kuhusu matunzo. Huyu Shabani Madobe anawasimanga watoto anaolea hadi mambo ya chupi sijui. Aibu nimeona mimi.
Kataka kumsola Meggy ,Yu meggy nae kalemwaa,kaenda kumsola Kwa Mange Kwa uchunguuMbona shabani madobe[emoji23][emoji23][emoji23]
Na ukute hicho ndiyo zama alichompendea Mshikaji,Wanawake rahaa sana na hawatabiriki!!Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.
Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..
Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.
View attachment 2745599
Sasa maana ya ndoa au kuolewa ni ngono na ufundi kitandaniHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Isiwe amehamua tu kufanya comedy!!
Alikurupuka sanaMimi bado ntamlaumu jamaa kwa kujiharibia status yake iliopambwa sana na mkewe na maisha haya kwani kurudi darasani bei gani mtu ukajua kuandika vizuri.
Mwamba alipambwa sana kumbe kiazi dah noma. Mitandao injua kuaibisha sana.
[emoji3][emoji3][emoji3] Kwakweli Zamaradi katuacha wengi hoi.Kumbe yale maisha ana pretend kuwa nayo behind the scene kuna nguvu kubwa sana ya uongoHuyo hata akisema anaenda chooni kamchungulie,au uliza Choo alifika huku huyu?
Hata akijamba mulize ushuzi wako huu au tarumbeta.
Kaongo kaongo sana,mwili upawa uongo km world trade center
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.Aliacha chuo Zama hakumaliza
Katika kitu nilidharau sana ni huyo mzee wa ULISI kujipa ujiko wa kulipia watoto wa Ruge school fees.Jamaa mwenyewe ukimuona live alivyo mchafu mchafu hata huo uwezo wa kulipia tu hata shule hizi za kawaida za 3.5M hana ije iwe School fees ya FIS.Muongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!
Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.
Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
Ada yao ikoje Fedha kwa primary?
Tulia wew mi na urafiki na mastaa toka lini 🤣
Feza ya Salasala ni around 23M lakini ile ya NECTA ni 7.3MAda yao ikoje Fedha kwa primary?
Hako na Zari lao moja.waliposikia waume zao wamekufa wakaenda kulia sana msibani[emoji3][emoji3][emoji3] Kwakweli Zamaradi katuacha wengi hoi.Kumbe yale maisha ana pretend kuwa nayo behind the scene kuna nguvu kubwa sana ya uongo
Hapo sasa ndiyo anapokamatwa uongo shabani madobe. Famiia ya marehemu Ruge siyo watu wa mitandao vinginevyo angepata aibu sanaMuongo Shabani madobe,Ruge ameinvest Kwa watoto wake ,yule mkubwa alisemaga Zama ndo anawasimamia watoto wote kwenye ishu za pesa,Km wote wanasoma Feza Ina maanisha wanalipiwa isipokuq huyu wa kwake na Shabani ndo wanalipa wao wenyewe!!!
Hahahaaa....hakumaliza aliishia semister ya pili Mwaka wa kwanza..ni form six leaver may be na hizi short courses...Khaa,kumbe na Chuo kaliishia njiani? Ila kidada kina roho mbaya sana,sijui hajioni na alivyo sasa.Jinsi anavyojaribu kutuonyesha yupo vizuri sana na watoto wake kusoma FIS utadhani hapo shuleni wanaosoma ni watoto wake tu.Nilihudhuria mahafari na mwanae pia alikuwa anagraduate.
Wazazi tulimpendekeza yeye ndiyo atoe nasaha kwa niaba yetu kumbe waliompendekeza walijua kina penda sifa hizi.Tangu hili sakata litokee tunakuwa tunapigiana simu na kucheka hatari.Mama muwakilishi wetu katudharirisha sana[emoji3][emoji3]
Mbwembwe tu pale aliingia chakaKatika kitu nilidharau sana ni huyo mzee wa ULISI kujipa ujiko wa kulipia watoto wa Ruge school fees.Jamaa mwenyewe ukimuona live alivyo mchafu mchafu hata huo uwezo wa kulipia tu hata shule hizi za kawaida za 3.5M hana ije iwe School fees ya FIS.
Umenena kweli hata huyo wa kwao ni Zama ndiyo atakuwa analipia ada na siyo mwanaume.
Sijui wanapata Nini kudanganya kama!!!Hapo sasa ndiyo anapokamatwa uongo shabani madobe. Famiia ya marehemu Ruge siyo watu wa mitandao vinginevyo angepata aibu sana