Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaa
Sio akili yake Ile bwanaa !!!Shirki live ile
Uwii nimechekaaa😆😇😆😇😇😆😆🙌
 
Manake huitaji jicho la rohoni kujua Yule Sheikh hampendi Diva, Yani hata kuigiza hawezi....Naye tumuweke kwenye maombi[emoji1787][emoji1787]

Ila wanaume wa siku hizi wanaroga nyiee....wananifanya nianze kumuhisi vibaya Hadi Baba K wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ukute siku nyingi nishawekwa kwenye kibuyu[emoji1787]
Yuko kimaslahi bwana mganga,wanaroga balaa haswaa kwenye maslahi wanaume wa siku hizi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Manake huitaji jicho la rohoni kujua Yule Sheikh hampendi Diva, Yani hata kuigiza hawezi....Naye tumuweke kwenye maombi🤣🤣

Ila wanaume wa siku hizi wanaroga nyiee....wananifanya nianze kumuhisi vibaya Hadi Baba K wangu🤣🤣🤣, ukute siku nyingi nishawekwa kwenye kibuyu🤣
NAkumbuka uliwahi sema ulitishia muachane akamaanisha.

Dada ukaanza weweseka😆😆😆..kivuruge wangu wewe dah😆🙌
 
Shida kubwa ya Zama nikutaka kujionyesha she is 100%perfect which is not true...
Kwanini uishi kwa ajili ya kuwadanganya watu ili upate furaha? Haya sasa mambo yanazidi kufuka moto...baba wa Ulisi anazidi kuanikwa hadharani...
Hebu kwanza ncheke...
Na ndio sababu ya kugombana na wenzie wote anajiona yy yuko perfect kwa kila kitu,kwa style yake huwez kuwa na rafiki atakuvumilia labda utabadilika mwishowe anasepa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Na ndio sababu ya kugombana na wenzie wote anajiona yy yuko perfect kwa kila kitu,kwa style yake huwez kuwa na rafiki atakuvumilia labda utabadilika mwishowe anasepa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kabisaaa...huwezi taka ww uwe perfect tuu kila siku wenzako unawaona hawafai...ila kuna watu amewateka hatari...
Da Zama...da zama...
 
Ni hela nyingi kwetu sisi maskini.

Ila sio hela nyingi za kutisha

Dar kuna kaya za familia zaidi ya 10000 zinazoweza kulipia watoto wao hata watano kwenye shule za milioni 20 kwa mwaka.

Mfano key peoples wa banks mfano chief financial officers wa benk zote nchini wana afford hizo ada.

Waarabu na wahindi kibao wana afford hizo ada

Wabunge wote wana afford hizo ada

Ma kamishna wa majeshi yote wana afford hizo ada

Kwa dar wateja wa feza ni wengi sana
Ndo maana nimesema, watu wana hela.
 
Akarudi dar kutangaza C2C mara akakutana na Ruge wakalana akapeleka clouds
Duuuh kumbe hata Degree hana, sasa Yale magazeti na essay zake zile kwioooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikuwa mtoto wa mganga shule angapata muda sasa ngapi? Nani angetumwa kuchimba mizizi msituni na kuongeza makali huko sumbawanga[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie waja, mumpuzishee mume wa Zama.
 
Duh
Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599

Huu uandishi mnau-rate ngapi kwa scale ya 1 mpaka 10 wanajamvi.

Kumbe ndiyo maana haandikagi sana mitandaoni..

Ni bora aendelee kukaaga kimya tu, amfichie hizi aibu ndogondogo huyo overrated wife wake.

View attachment 2745599
Dah huruma aisee😀😀
 
Manake huitaji jicho la rohoni kujua Yule Sheikh hampendi Diva, Yani hata kuigiza hawezi....Naye tumuweke kwenye maombi[emoji1787][emoji1787]

Ila wanaume wa siku hizi wanaroga nyiee....wananifanya nianze kumuhisi vibaya Hadi Baba K wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ukute siku nyingi nishawekwa kwenye kibuyu[emoji1787]
Limbwata siku hizi wanawekewa wanawake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usizubaee shogaaa.
 
Ila Kazi ya kuchimba mizizi imemlipa kajua dawa [emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi kamdhibiti mudada wa mjini, analishwa, nyumba za Ulisi zinauzwa apewe mtaji na kwenye bango atundikwa[emoji1787][emoji1787]

Hao waliokuwa wanaenda shule hadi masika hata kwenye wallpaper ya simu hawawekwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjini akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mwehuu.
 
Back
Top Bottom