Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
nasikia wanaume wa huko wanavaa shanga
 
Kuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.

Kuna demu mmoja ana bachela ya pharmacy O level aligonga 1.14 na advance two ila hajukutofautisha "H" A na R na L .

Kwahiyo hizi ishu za kuandika muda mwingine ni mtu alivyozoea.
 
Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.

Kuna demu mmoja ana bachela ya pharmacy O level aligonga 1.14 na advance two ila hajukutofautisha "H" A na R na L .

Kwahiyo hizi ishu za kuandika muda mwingine ni mtu alivyozoea.
Hapa mi nilichoona makosa anayofanya mwamba sheby ni yale yale ya kila siku kwa wengi wa elimu ya darasa la masela. Ila kinachokuzwa ni kwasababu tu watu wanachuki na ujuaji wa zamaradi tu.
reymage
 
Pana mdada mmoja alistukia hiyo akajaribu kuwa alert watu, kwani walimsikiliza sasa.Zama kawa ahidi atakayetoa idea nzuri atazawadiwa pesa 1M na aliunda groups zaidi ya tano.Watu acha washuke na Idea zao.Alivyoona kazikusanya za kutosha akakimbilia Polisi akamtia ndani yule dada aliyekuwa anawastua watu kuwa wanadanganywa,kamlaza ndani week nzima.Baada ya hapo akayafunga magroup yote na hakutangaza mshindi na hata senti tano hakutoa.Mjini shule [emoji3]
Haka ka dada ni ka somji,na kalivyokakamaa utadhani mti wa mchongoma.Bora nipige puli kwa haka ka dada hata jogoo aliwiki.
 
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaa
Sio akili yake Ile bwanaa !!!Shirki live ile

[emoji23]hapana chezea mganga.
Naona mganga alikaa akasema ngoja amalize kuongea nimshughulikie
 
Alijitongozesha kwa ruge ili apate maisha,ruge akala na kumsibisha,Ila ndoa alimwambia ney
Zama katoka kwenye dhiki
Ndomana anafosi kuwaonyesha watu kuwa kawin maisha
Tumuombee tu Kwa kweli
Ila Zamaradi alikua ktk mgogoro na familia yake haswaa wa kiimani ujue maana Jasiri hakua Muslim halafu kingine uhuni mwee yule baba nuksii,Sasa kuoa haoi anakula mzigo tu Ndo maana Alipotokea nnemba wa kukaya hakulaza Damu nadhani kigezo ni dini na Ndo maana walioana ghafla sana,Zama anahama Kwenye nyumba ya Ruge nadhani a week before Ndoa au alihama siku anaolewa akahamia Kule kwake kungine...!!!

Uzuri wa zama sio mtu wa kuongea madhaifu ya mmewe ujue ht km akishindwa ataondoka tu ila Mimi siombei waachane mwenzenu avumilie tu
Ku
 
Mzee wangu hana darasa hata moja kichwani,kusoma na kuandika alifubdishwa na mama yangu ila anatuma watu wenye shule zao.

Kuna demu mmoja ana bachela ya pharmacy O level aligonga 1.14 na advance two ila hajukutofautisha "H" A na R na L .

Kwahiyo hizi ishu za kuandika muda mwingine ni mtu alivyozoea.
Sawa baba yako ni mjinga na kakuzaa mjinga🤣🤣🤣
Hongera kwa hela za uchawi🤣🤣
 
Bestie mbona hata jua halikuzama sijui wiki alirudi kipindi kile kile[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]shoga uko mjini au wapiii!!!
Amerudi na mahaba ndio ndio ndi!!!
Yaani ka sio yeye
Chezea mganga weewe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mganga kiboko[emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah aisee wadada ili kuepusha aibu ndogo ndogo,muwe mnaficha hao wagoroko wenu.

ujue mtu anawezakuwa mumeo,halafu akawa mpuuzi na wala tusihangaike naye muhimu ni wa kwako.tatizo ni pale unapotaka kutufanya wanaume wengine si kitu si lolote ila huyo wako.

kwakweli zile moment za bidada kumuanika jamaa morocco kwenye bango zilikuwa zinanichanganya sana,maana nilikuwa nawaza kama sio kuachwa siku moja basi ni fedheha ya maisha bidada atapata.
hii hapa sasa[emoji23][emoji23]
 
Alijitongozesha kwa ruge ili apate maisha,ruge akala na kumsibisha,Ila ndoa alimwambia ney
Zama katoka kwenye dhiki
Ndomana anafosi kuwaonyesha watu kuwa kawin maisha

Ku
Hahahahaaa....jamani mbona Zama kwao sio wa hovyo Sanaa!!!sema udada wa mjini Ndo walikua wanataka na alihakikisha Anakua wake hasaa!!!
Maishaa hayaa!!!!
 
Back
Top Bottom