Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Usikae kimya, km mwanaume we niambie uenda una watoto wangu wewe 😂Haya bwana acha nikae kimya nisiandike sana[emoji2][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikae kimya, km mwanaume we niambie uenda una watoto wangu wewe 😂Haya bwana acha nikae kimya nisiandike sana[emoji2][emoji849]
Lakini si alikuwa anakukojoza?Amenikumbusha mchaga mmoja ex wangu akiandika sms ukimaliza.kusoma unaenda kumeza diclopar
Herufi kubwa kama zote halafu yaani upuuzi mtupu ngoja nione kama bado ninazo
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Ongeza hii, WAKTIKATIKA JAMBO LA KUSHANGAZA ZAIDI, BARAZA LA KISWAHILI TANZANIA(BAKITA),
WAKO KIMYA WAKTI LUGHA INACHAFULIWA:
EBU ONA:
Watazallika
Uliolisi
Wakaribu
hulisi
Nakuambiaje na tayari umeshaanza kuniita kaka na pm kufunga[emoji2]?,lets get connectedUsikae kimya, km mwanaume we niambie uenda una watoto wangu wewe [emoji23]
Nimecheka sana..ila weweðŸ¤Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.
Ila niwashauri wanawake, Kama you have big dreams usijaribu wala usithubutu kuolewa na wanaume wa ukanda wa Pwani, mostly hawana malengo. Wakati wewe unawaza muinvest mmiliki makampuni, yeye anawaza kuongeza wake amiliki K zaidi....hawana ambition kabisa kwenye maisha, wavivu.....!
Utaishia kuwa Zamaradi, huku unatafuta pesa, huku umaintain status ya mume asionekane umeme mdogo....na bado ukute mume mwenyewe ana gubu humo ndani....tumuoneeni huruma Zama, hapo ukute na kurogwa anarogwa na huyo Mume.
🤣🤣ETI TANGU LINI KINA SHABANI, KIN HAMISI WAKAJUA KUANDIKA?
TUANZIE HAPO
HATA DARASA LA SABA KUMALIZA NI MTIHANI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!asubutuuuu...nguuuuu!!!!!Ayuu ankushinda yuuu.....vanu va kuya avana nying'ano za kung'amula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumuombee tu Kwa kweliTumuombeeni mwanamke mwenzetu....ukute anayoyapitia ni mazito Ila ndo anatapa tapa kulinda heshima yake.
Hebu fikiria kutoka Kwa big brain Kama Ruge halafu ujikute umeangukia Kwa Mzee wa Ulisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zama amekwama, kuna siku atazinduka ataongea yote.
Zamaradi ni shilole aliyechangamka na ni esha buheti aliyepooza!!!Duh,kumbe ndo maana mahangaiko yale yote mara mabango,mara kununuliwa range,ndoa ambayo ni q supa hakuna haja ya kuhangaika kutaka kuwaonesha walimwengu.
Kumu make mtu ili muendane sio kazi ndogo,basi wanawake wanamuona mwenzao kama anabahati sana,thubutu single maza na watoto watatu juu mtu ajitolee burebure.
Kiufupi hana tofauti na akina shilole
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Watu wanalipwa shoga Hata nduguyo anakuuza siku Hizi tuwe makini na watu wetu wa karibu wanampelekea mange umbea wanalipwa mahela..famchezo Nini!!!!![emoji23][emoji23][emoji23]hivi mange hizi info anapataga wapi?
Anyway,wote tunajua kama bwana shabani madobe analelewa pale na zama
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaaYaani diva alijua kunishangaza[emoji23][emoji23]
Bestie mbona hata jua halikuzama sijui wiki alirudi kipindi kile kile[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]shoga uko mjini au wapiii!!!Huu umbeya mpya kwangu,diva karudi kwa mganga?
Mahaba km wameoana Jana vile wamerudiana wale kuachana mpk Diva asimame na Mungu sawasawa unless atarogwa na hatotoka kwenye Ile ndoaKwahiyo Diva sasa hivi mahaba ndindindi kwa sheikh?[emoji2]
Dada noma huyuu[emoji1][emoji1][emoji1]Huyu dada kweli kiboko [emoji1]
Tunampenda sana na hatuna haja ya kumchukia Wala Nini ila kama kakosea ataambiwa tu...Aishi maisha yake Wala hakuna MTU atamuuliza kituIla nimegundua wanawake mnawivu sana na hamumpendi binti mketema, pamoja na kwamba Mume wake ndo kama hivyo lakini ndo alichokikuta, kama yeye target zake zilikua ni status kwa mtoto wa PM kumbe ndivyo sivyo hayo ni yake sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]harudii tenashebi kazingua sana sema siku hizi hajibu kabisaa mkewe akipost maana anajua stori za ulisiii zitaleta tabu