Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.

Ila niwashauri wanawake, Kama you have big dreams usijaribu wala usithubutu kuolewa na wanaume wa ukanda wa Pwani, mostly hawana malengo. Wakati wewe unawaza muinvest mmiliki makampuni, yeye anawaza kuongeza wake amiliki K zaidi....hawana ambition kabisa kwenye maisha, wavivu.....!

Utaishia kuwa Zamaradi, huku unatafuta pesa, huku umaintain status ya mume asionekane umeme mdogo....na bado ukute mume mwenyewe ana gubu humo ndani....tumuoneeni huruma Zama, hapo ukute na kurogwa anarogwa na huyo Mume.
Nimecheka sana..ila wewe🤭
 
Tumuombeeni mwanamke mwenzetu....ukute anayoyapitia ni mazito Ila ndo anatapa tapa kulinda heshima yake.
Hebu fikiria kutoka Kwa big brain Kama Ruge halafu ujikute umeangukia Kwa Mzee wa Ulisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zama amekwama, kuna siku atazinduka ataongea yote.
Tumuombee tu Kwa kweli
Ila Zamaradi alikua ktk mgogoro na familia yake haswaa wa kiimani ujue maana Jasiri hakua Muslim halafu kingine uhuni mwee yule baba nuksii,Sasa kuoa haoi anakula mzigo tu Ndo maana Alipotokea nnemba wa kukaya hakulaza Damu nadhani kigezo ni dini na Ndo maana walioana ghafla sana,Zama anahama Kwenye nyumba ya Ruge nadhani a week before Ndoa au alihama siku anaolewa akahamia Kule kwake kungine...!!!

Uzuri wa zama sio mtu wa kuongea madhaifu ya mmewe ujue ht km akishindwa ataondoka tu ila Mimi siombei waachane mwenzenu avumilie tu
 
Duh,kumbe ndo maana mahangaiko yale yote mara mabango,mara kununuliwa range,ndoa ambayo ni q supa hakuna haja ya kuhangaika kutaka kuwaonesha walimwengu.
Kumu make mtu ili muendane sio kazi ndogo,basi wanawake wanamuona mwenzao kama anabahati sana,thubutu single maza na watoto watatu juu mtu ajitolee burebure.
Kiufupi hana tofauti na akina shilole

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Zamaradi ni shilole aliyechangamka na ni esha buheti aliyepooza!!!
 
Yaani diva alijua kunishangaza[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23]mganga alimuacha aropoke tu ,yaani jitu shirikina vile unajitangazia umma mmeachana naimani Abdul alituma majini yote kutoka baharini yamrudishe divaa
Sio akili yake Ile bwanaa !!!Shirki live ile
 
Ila nimegundua wanawake mnawivu sana na hamumpendi binti mketema, pamoja na kwamba Mume wake ndo kama hivyo lakini ndo alichokikuta, kama yeye target zake zilikua ni status kwa mtoto wa PM kumbe ndivyo sivyo hayo ni yake sasa.
Tunampenda sana na hatuna haja ya kumchukia Wala Nini ila kama kakosea ataambiwa tu...Aishi maisha yake Wala hakuna MTU atamuuliza kitu
 
Back
Top Bottom