Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Aiseee basi ana ujasiri wa hatari,unajua the way anajiwekaga mbele ya makamera na maneno ni tofauti na matendo yake
Na ndicho kilichowakera watu hadi wanafunguka uhalisia.Yuko tayari amuumize mtu yoyote ili yake yamnyookee na wala hajali.Dhuluma kwake ni kawaida sana, ukisoma comments nyingi hasa kule Instagram.
 
Na ndicho kilichowakera watu hadi wanafunguka uhalisia.Yuko tayari amuumize mtu yoyote ili yake yamnyookee na wala hajali.Dhuluma kwake ni kawaida sana, ukisoma comments nyingi hasa kule Instagram.
We malaya acha kumcharazia mwanamke mwenzio kama unamjua sana. We ushakata ringi tayari. Hivi haya unayosema hapa ungeyasema lini bila huu uzi!? Hebu jishikilie kidogo. Umekazaana mwenyewe kucharaza!!!!
 
"Swala la uhandishi ni watu wachache wanariweza, nakiri mimi ni mmoja wapo uhandishi unanitesa"

Ungeandika hivi bila shaka ningekubaliana na wewe, Suala lipo wazi kabisa, kwa mazingira ya Dunia yetu hii ya Kitanzania, kwa muandiko ule wa mzee wa ULISI, jamaa ni empty headed, kuna mawili posible ndio sababu yupo na yule manzi

1.Msingi kiuno
2.Ndumba zipo around

Tofauti yake na Uchebe ni kuwa bwana Uchebe alikuwa sana mitandao na huyu Mzee wa ULISI hakuitaka mitandao.
Na ww umekosea sio "uhandishi" ni uandishi


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo hio nyumba bimdashi amechukulia mkopo?!,huyu mwanamke anajaribu kutuaminisha mumewe yupo njema kifedha kumbe yeye ndio anaumia kwa kumaintane status ya mumewe
Nyie acheni tu, kuna muda mwanamke Una ndoto zako kubwa, halafu unajikuta uliingia kwenye ndoa na mwanaume Zamwamwa, ndoto yake kubwa ni ale wali wa Nazi na samaki...ajambiane, Yani karidhika.....ndo mwanamke unaanza kupambana kufikia malengo huku ukimantain his status Ili asikukwamishe.....Kina Zamaradi tumejaa tele mtaani.

Ila niwashauri wanawake, Kama you have big dreams usijaribu wala usithubutu kuolewa na wanaume wa ukanda wa Pwani, mostly hawana malengo. Wakati wewe unawaza muinvest mmiliki makampuni, yeye anawaza kuongeza wake amiliki K zaidi....hawana ambition kabisa kwenye maisha, wavivu.....!

Utaishia kuwa Zamaradi, huku unatafuta pesa, huku umaintain status ya mume asionekane umeme mdogo....na bado ukute mume mwenyewe ana gubu humo ndani....tumuoneeni huruma Zama, hapo ukute na kurogwa anarogwa na huyo Mume.
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.

Ni kweli hao watu ukigusa huwezi kutoka wapo vizuri[emoji3][emoji3]
Back to the topic huyu mwanaume ni mswahili sana kaingiza mada ambayo haipo tantalila nyingi sana
Safari hii zama kaumbuka bora angekaa kimya tu
 
Amenikumbusha mchaga mmoja ex wangu akiandika sms ukimaliza.kusoma unaenda kumeza diclopar
Herufi kubwa kama zote halafu yaani upuuzi mtupu ngoja nione kama bado ninazo

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app

Unawezaje ku date na mwanaume wa hivyo
Mimi siwezi duh
Yani nikishaona hujui kusoma au kuandika hatuwezi kuwa wapenzi
 
Nimesoma Mange kashusha historia fupi ya Shaban na ina make sense aisee.Zama aliamini kabisa kaolewa na nephew wa PM.Sasa kila kitu hadharani kumbe ni mtoto wa Sangoma kutoka Ndanda na hana undugu wowote na PM.Haya maisha ukijifanya mjuaji watu wanafungua mafile yako vizuri tu.Sasa Shaban zile mbwembwe za mpwa wake PM zimemalizwa kabisa.

Alichosahau mange kusema ni mume wa bi masumbuko pia ana mishe za kijambazi
Ngoja zama aendelee kujibu watu watafunguka tu
 
Hadi yule milly wa tz shaderoom alivalia njuga hilo swala, zama si ndo akampeleka polisi eti milly anamchafua.
Acha kabisaa Zama hapendi kuambiwa ukweli Si ht ishu ya reeeeeenji yake alivouza nyumba Kipindi Cha ICU wakaenda kuhoji Ili waje warushe Kwa tv ukweli,akawalima barua DSTV kua kikirushwa ana sueeee!!!wakatulia
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza

Btw tuwekeeni hata screenshots basi rey
Ndo naingia jf mda huu mama
Nakua na mambo mengi
Screenshot_20230913-143824.jpg
Screenshot_20230913-143834.jpg
Screenshot_20230913-143839.jpg
 
Back
Top Bottom