atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Jamii forum imegeuka kuwa kijiwe cha umbea [emoji2] nimewanyoshea mikono [emoji119],dada atachambuliwa huyu[emoji23]....Nilijua tu, kwa akili zake hizo za kuweka mabango na kuandika magazeti Instagram, atakua na yeye ni seti tupu tu. Amshukuru sana sana marehemu Ruge kwa kumpandisha chati na kuzaa nae at least atakua na watoto upstairs wako vizuri, lakini hao wa shamba boy tunamuachia mola maana baba zero na mama zero. hatwariii sana.