atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Uza tuu unawaza nin aisee,si unamwambia tuu Mange, "please hide my id"unakunja buku tatu yako,ni mpunga mrefu etiAnatoa hata wale wasanii kuhojiwa wanalipa mpk 3m,Sasa exclusive kama ya Zamaradi ujue pesa si chini ya 3m hapo mtu kapata..ni rahisi mtu kukusaliti Mimi tu naogopa Mungu Kwa kweli ila ningeuza mtu Siku Moja [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]